Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
Niaje wazeiyaaah....
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Mwanaume na akili timamu zilizo timamuka.... KWELI unataka kusema unaweza kuwa na mwanamke mmoja tuu maisha yako yote.
Kwahiyo kama demu kakariri kifo cha mende basi kila siku mtakua mende kitandani....
Kama papuchi ina jaa maji basi milele na milele utakua mtu wa kuogelea...
This is BULL SHIIT...
Ndio Maana sie (ma yakhe) tunaruhusiwa kuvuta up to four concurrent wives mazee... Unadhan kwann... Kubadili taste mazee....
Last sensa (2012) inaonesha kuwa females are 60% compared to 40% of males in Tanzania (source website ya NIDA na RITA)
Mwanaume una ng'ang'ana na kijanamke kimoja, hao 20% extra waende kwa nani????? Watumie toys...
Mazee acheni UBOYA.....
Huwezi kuwa na mwanamke mmoja tu unakomaa nae kila cku anakupiga mizinga, anakuletea nyodo, hana manjonjo kwa kitanda, hakatiki vile namna sie tunapenda...
WAKATI kuna LUNDO la wanawake wazuri tu huko mtaani, vyuoni, hospital, sokoni, club, kanisani, masjid, stand, airport mpaka jeshin....
ETI wanawake mliopo humu nyie mnaamini kwamba sie tunaweza kukomaa tu na kanamke kamoja kweli....????
May be tunaweza... Lakin tatzo LADHA.... LADHA... Tunatafuta LADHA... Tofauti...
Em wote kwa pamoja semeni "LADHA"
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Mwanaume na akili timamu zilizo timamuka.... KWELI unataka kusema unaweza kuwa na mwanamke mmoja tuu maisha yako yote.
Kwahiyo kama demu kakariri kifo cha mende basi kila siku mtakua mende kitandani....
Kama papuchi ina jaa maji basi milele na milele utakua mtu wa kuogelea...
This is BULL SHIIT...
Ndio Maana sie (ma yakhe) tunaruhusiwa kuvuta up to four concurrent wives mazee... Unadhan kwann... Kubadili taste mazee....
Last sensa (2012) inaonesha kuwa females are 60% compared to 40% of males in Tanzania (source website ya NIDA na RITA)
Mwanaume una ng'ang'ana na kijanamke kimoja, hao 20% extra waende kwa nani????? Watumie toys...
Mazee acheni UBOYA.....
Huwezi kuwa na mwanamke mmoja tu unakomaa nae kila cku anakupiga mizinga, anakuletea nyodo, hana manjonjo kwa kitanda, hakatiki vile namna sie tunapenda...
WAKATI kuna LUNDO la wanawake wazuri tu huko mtaani, vyuoni, hospital, sokoni, club, kanisani, masjid, stand, airport mpaka jeshin....
ETI wanawake mliopo humu nyie mnaamini kwamba sie tunaweza kukomaa tu na kanamke kamoja kweli....????
May be tunaweza... Lakin tatzo LADHA.... LADHA... Tunatafuta LADHA... Tofauti...
Em wote kwa pamoja semeni "LADHA"
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng