Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mapenzi ni zaidi ya unene au wembamba wa mtu
Mapenzi ni hisia kutoka kwa moyo kwa yule uliomdondokea hata kama ni mweusi au mweupe
Utamu wa mapenzi anaujua yule anayependa bila kujalisha urefu au ufupi wa mtu, kabila wala dini
Mapenzi ni pale moyo wako unapokubali pasi na shaka kuwa unashiba kuwa na huyo uliomchagua

hiyo kweli coz watu hubadilika,what if umempendea wembamba akanenepa?utamuacha?
 
Mmmh.... Utamu wa pipi ni mate yako tuu...!
 
Nauliza jamani, kuna tofauti gani kati ya mwanamke mwembamba na mnene kwenye mahusiano? kuna rafiki yangu tumebishana sana mpaka kaniudhi, yeye anasema wasichana wembamba ni watamu kimapenzi, wakati mimi nimeishawahi kuwa na msichana mnene na mwembamba kwenye mahusiano, wote niliona watamu. ila cha ajabu alisema kuwa kuna ushahidi wa kisayansi juu ya nani mtamu na nani sio mtamu, bado nilimbishia. je? kuna mtu ana wazo tofauti na hilo. au yeye yupo sahihi?

Duh swali zuri sana but I think suala la wembamba na unene na jinsi linavyohusiana na utamu hakuna correlation hata kidogo.Kama ujuavyo utamu wa pipi waswahili wanasema ni mate yako,means pale ambapo wewe umependa seriously na feelings zako zikawa hapo then uta experience utam in love simply because all your feelings and mind viko hapo bila kujali wembamba au unene wa mhusika.Kwa hiyo suala la utamu ni wewe mwenyewe mwonjaji hisia zako/moyo wako ulikoelekea. mtazamo wangu tu!!!!!
 
Wembaba wako flexible kwa mastaili kibao, wanene hasa wenye makalio makubwe kwa staili zingine hawapati ile deep penetration ya ukuni kwasababu yanazuia hasa kwa style fulanifulani!
 
Nauliza jamani, kuna tofauti gani kati ya mwanamke mwembamba na mnene kwenye mahusiano? kuna rafiki yangu tumebishana sana mpaka kaniudhi, yeye anasema wasichana wembamba ni watamu kimapenzi, wakati mimi nimeishawahi kuwa na msichana mnene na mwembamba kwenye mahusiano, wote niliona watamu. ila cha ajabu alisema kuwa kuna ushahidi wa kisayansi juu ya nani mtamu na nani sio mtamu, bado nilimbishia. je? kuna mtu ana wazo tofauti na hilo. au yeye yupo sahihi?



sasa ndugu, huo unene na wembamba kwa kipimo gani haswa?

mnene kwako anaweza kuwa ni mwembamba kwa wengine................
 
Binafsi naamni kuwa kila mtu ana 'preferences' zake katika uchaguzi wa kitu chochote..
Ndiyo maana kukawepo na rangi na maumbo mbalimbali ili kukidhi mahitaji ya uchaguzi..
Hata wanadamu tunapishana katika kuchagua wenzi wetu kulingana na 'uono' wetu..
Kulingana na mada ni vyema kwanza tukakubaliana 'utamu' unaozungumzwa hapa ni upi!!
Itakuwa ngumu kusema umbo hili ni tamu kuliko lile ilhali 'utamu' wenyewe ni nadharia tegemea (relative term)..
But itoshe kusema 'utamu wa pipi ni mate yako'..
 
kwani shule bado hazijafunguliwa? maana naona hii thread ni level ya watoto show.
 
Hoja ya msingi sio utamu wa mapenzi kati ya mwanamke mwembamba au mnene bali wepesi wa mapenzi kati ya mwembamba na mnene. Wanaume wengi wanalalamika kuw wanawake wanene ni wavivu au wazembe kwenye mapenzi. inadaiwa wanalala kama gogo hawajishughulishi.
 
sitaki kugongagonga mfupa mie. hata hivyo, unene uliozidi kama matoki siutaki..awe tu wa kati...mfupi kidogo etc.
 
Nauliza jamani, kuna tofauti gani kati ya mwanamke mwembamba na mnene kwenye mahusiano? kuna rafiki yangu tumebishana sana mpaka kaniudhi, yeye anasema wasichana wembamba ni watamu kimapenzi, wakati mimi nimeishawahi kuwa na msichana mnene na mwembamba kwenye mahusiano, wote niliona watamu. ila cha ajabu alisema kuwa kuna ushahidi wa kisayansi juu ya nani mtamu na nani sio mtamu, bado nilimbishia. je? kuna mtu ana wazo tofauti na hilo. au yeye yupo sahihi?
Mimi napenda waliojazia "neema za allah". Mcheki muhubiri huyu pia anayo majibu: https://www.jamiiforums.com/mahusia...eh-sheikh-kasahau-alichokuwa-anahubiri-3.html
 
Wembaba wako flexible kwa mastaili kibao, wanene hasa wenye makalio makubwe kwa staili zingine hawapati ile deep penetration ya ukuni kwasababu yanazuia hasa kwa style fulanifulani!

mmmh !wee mbona me waga nanhi anaenda deep sea kwa sana tu hahaha mbavu zangu mie
 
Back
Top Bottom