So funnyAnanipenda sanaaa,niko nae kwa kumuonea huruma tuu yan,ila hanivutii kabisaaaa..anapenda kuvaa vi kaptura,sasa anajibanaa ili asionekane kibonge,kuna siku nkamwambia mama utakuja kunijambia mbele za watu ,mara avae limkanda tumbon et la kupunguza tumbo,yaan tunaenda date anahema juu juu,sasa raha gan hyo,sasa hyo bleach ndo kaharib kabisa ,nmemwambia asije kwangu na bleach,kabak anatoa macho tu,tatzo umri sijui,akil hana kabisa,juz siku ya wajinga mim nilisahau,akanidanganya kitu kikubwa kwel af badae et leo siku ya wajinga,nkasema hiv mi na date na kichaa ama
Jamani jamani mbona ni ndogo sana hizo kilo kwakweli bora niwe bonge kuliko kuwa kimbaombaoMange yupo vizuri aisee ni role model kwetu tunaohitaji kuloose weight
Jamani 58 kg hadi raha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu inauma sana hiyo kituAise hili ni janga la taifa. Ni kweli wanawake wanene hawana steam kabisa. Ulichosema nakibariki 100%. Hawa wanapendeza tu kuwa side chick ila ukiweka ndani unaweza kujihisi una upungufu wa nguvu za kiume kumbe ni wao. Hawafai kukumbatia, usiku hamuwezi kushare shuka, kitu ni mbuyu.
Haki naapa kinachonitoa nje ya ndoa yangu ni unene wa mke wangu. Kipindi namchumbia alikuwa tu wastani japo alionesha kuwa na dalili za unene, akajifanya nae haupendi atafanya mazoezi. Tangu nimemuhakikishia maisha hataki kusikia neno mazoezi wala balance diet, michips, miwali anafakamia kama mchwa mpaka huwa nasikitika hivi huyu ana mpango gani?
Kuna mamake akija ananilaumu vipi mbona unamwacha ananenepa hivi? Namuuliza vipi mama nimshindishe na njaa? Yaani kosa mwanangu ningekuwa nishapiga chini ila nimenasa, mwanangu nampenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Yaani 65kg unajiona mnene? Mbona huo mwili wa kawaida sanaNdio miili migumu ndo kama hiii 70kg nikipungua saaana ni 65
Nje ya Mada: umeolewa ?Kuna unene wa asili hapo inakuwa ngumu
Kupungua .
Nilianza kutumia asubuhi lemon tangawizi na garlic nmeacha tayari naona nitapungua tu !!
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π π πHalafu wanene ndo wazuri sasa K imebana wanaweza kuifinyia kwa ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na wewe mnene siku hiziKwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Inategemeana na umbile la mtu,, ongeza kidogo mdogo wangu jamaniKilo me nahisi ni mifupa sijui π
Me nna 56 (na umri unaruhusu) ila sio kimbaumbau....nna nyama za kumpita Mange.
Atakupenda ila tendo lenyewe halitampa anachokitaka. Kwa hiyo atatafuta wa kumpa japo hampendi... ... hivi unajua wanaume tunajuana ee.
Wembamba size flani amazing (hapa sijaongelea vimbaumbau plz) wana fleva zao bn
Unene uwe Wa kias ndo mzurii mana Nina experience nlikua na demu wngu kimbau mbau aiseh kina cha kutosha,huku mifupa inaniumiza aiseeh full stresses...!!! Halafu kalikua na mdomo hatari kwahio ukichanganya yt hayo unachanganyikiwa [emoji16][emoji16][emoji16] wanene wana utam fulan hiv amazing style zote hawaumizii,nyama zile znasevu SNA.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapaja makubwa, nayapenda sana...Kusema.ukweli hata Mimi Saiv Nina kilo 80 ..kuna.muda najichukia...Natamani kupungua...lakini huyo side chick wako hujampenda kabisa...Tena.muache aende zake..atampata ambae anapenda.mapaja yake makubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanawake na wanaume unene uliopitiliza si afya
#Binafsi naogopa unene kwa sababu kuna risk nyingi zinazoambatana na unene kuliko wembamba
Kisukari
Pressure
Kukosa nguvu za kiume
Kuziba kwa mirija ya uzazi hasa wanawake
Na mengine mengi
Unaambiwa hivi
#Kula chakula kama dawa kabla hujaanza kula dawa kama chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyo amka leo ππππInategemeana na umbile la mtu,, ongeza kidogo mdogo wangu jamani
Kiukweli kabisa kutoka moyoni ningekuwa dume chini ya 70 sikukuli