Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
π€ΈββοΈ Usinifukuzie ndege wangu, hutaki kucheza amapiano Mlimani city kwenye ndoa yangu!Hii my imekaa kinafki sana ππππ
Mbona ndugu zangu mmeanza gubu mapema ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€ΈββοΈ Usinifukuzie ndege wangu, hutaki kucheza amapiano Mlimani city kwenye ndoa yangu!Hii my imekaa kinafki sana ππππ
Huna mwamvuli my πππNiko nje nanyeshewa mvua, fungua hata dirisha.
Hao ndugu zangu wazoee ndo walivyo, ukizubaa wanakutoa kwenye reli πππDaaaah, huna huruma wew.
Kama kwenye mitumba au sioNataka waje wote nichague
Unatafuta sbb ya kutofungua dirisha.Huna mwamvuli my [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi wacha niwashe mshumaa nione mwanga nifungue dirisha
Unatafuta sbb ya kutofungua dirisha.
Right ungejua ninayopitia, ungefungua mlango kabisa nije unisikilize.
Dah huu mtihani.Hamna my kweli kuna giza sioni nilipoweka mshumaa na simu ina 1 percentage haiwezi kuwasha torch. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We vumilia my [emoji7]
Mpe kituHamna my kweli kuna giza sioni nilipoweka mshumaa na simu ina 1 percentage haiwezi kuwasha torch. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We vumilia my [emoji7]
Dah huu mtihani.
Siwezi kurudi nilikotoka, nimekuja safari yote kwako.
Nitakaa hapa mpaka ufungue, iwe mvua iwe mbu.
Moja ninalotka, nifikishe ujumbe kwko.
Mpe kitu
Tatizo wewe hutaki kutoa ππWachawi mshafika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mniache niolewe sasa nitupunguze pirika jf
Tatizo wewe hutaki kutoa ππ
Shosti wako yupo hapa ananiandalia kahawa πKweli wachawi watu, paka wanatumwa [emoji23][emoji23]
Ko umedhamilia kuniharibia kwa my wangu hapa?
Au unalipizia nilivyokuharibia kule kwa shosti yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
PmDar wote warembo.....
Sema chenye unataka...
Shosti wako yupo hapa ananiandalia kahawa π
Nawwe kuwa na huruma hata kidogo.[emoji12] sawa my, una upendo wa Agape sana!
Ok karibu pm
Nawwe kuwa na huruma hata kidogo.
Nina moyo wa nyama ujue.