Mwanamke mrembo lakini ngozi yake ngumu

Mkuu unless hukua na nia njema nae...ila kama ulitaka kujenga nae maisha mtafutie vilainishi vya ngozi atumie...huwez kupata a perfect match labda umuumbe mwenyewe!
 
huyo ndio og ujue, amekosa tu vilainishi, waonaje ukimpatia vilainishi itakuwa poa zaidi
 
Na papuchi ulikuta ngozi ngumu
 
Me nahisi wewe ndio unangozi nyororo so ukicompare na ya huyo bibie kidogo anaonekana ngumu, dah wanaume wa Dar Vipodozi vya Dada zenu haviwaachi salama
 
weka picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…