Mwanamke Mume mmoja,Mwanaume Wake wengi!

Kati ya 100 pengine wa 5 ndo wanaoweza hizo mbio za marathon. Nilishakutanaga naye enzi za usichana mmoja kati ya karibu 30 na ushee hivi.

Umenichanganya.
Naona uliokutana nao walikuwa wachovu njoo uone jaribu na zamani hata kujiexpress ilikuwa marufuku.
 

Mahusiano ya sasa huwezi kulinganisha na miaka iliyopita kama ulivyosema.Maisha ya zamani yalizungukia kuzaa na kulea watoto kipindi chote cha maisha ya mwanamke.Miaka hii mwanamke hazai sana kama zamani na kwa msingi huu mahitaji yake ya kimapenzi ni makubwa kama yalivyo ya mwanaume.Naunga mkono hoja yako kuwa mwanaume asiyemtosheleza mkewe kwenye hili ana mashaka ya kumpoteza huyo mwenzi wake.
 
Naomba nielimishwe?...

...Kama mwanaume anaruhusiwa kuoa Wake wengi kwanini Mwanamke asiwe na Waume wengi?Je kuna usawa hapo?

...jibu lake unalipata hapa;

Aina zote za ndoa(Kikristo,Kiislamu,kijadi na kiserikali)zinaruhusu ndoa kwa Mwanaume Mke mmoja au wengi na Mwanamke Mume mmoja.

...kila dini, mila, desturi, tamaduni na serikali za mahala fulani zina kanuni zake kuhusu hilo. Ukitaka usawa, hata vidole havifanani urefu mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…