Mwanamke: Mwanaume anapokuangalia anakuona mpaka ndani, viashiria hivi zingatia

Mwanamke: Mwanaume anapokuangalia anakuona mpaka ndani, viashiria hivi zingatia

Sasa Fisi maji si atakua amevunja rekodi ya dunia ,maana yule hata ujani ukimgusa yeye ni gegedo tu ,
 
Katika ulimwengu wa miili yetu mleta mada yuko sahihi 100%.
Ni pale tu unapoturn to moral being and virtues ndipo utaanza kwa kuwatamani wanawake lakini bila kufanya nao ngono na ukienda mbele zaidi kwa kuifanya akili yako safi basi hutawaza hata hiyo sex ukiwaona. Ndio maana pamoja na tamaa zote hizo huwezi mtamani au kufanya sex na dada, mama, shangazi nk japo ni wanawake kama wengine
Na hapo ndipo utaweza kutenganisha binadamu kama kiumbe bora na binadamu kama mnyama tu!
 
Kama ningeuliza wanaume kadhaa randomly … kuwa unafikiria nini kila bada ya dk 20 au kila unapomwona mwanamke? Sijui jibu ambalo ningepewa lakini wataalamu wanasema wanaume wanafikiria sex kila baada ya sekunde 7. Hii inamanisha kuwa zaidi ya mara 500 kila baada ya saa moja na zaidi ya mara 8000 ndani ya masaa 16 akiwa hajalala….(ha ha ha akilala anaota pia jambo hilo “wet dreams” ingawa haujafanyika utafiti haswa haswa kuhusiana na hilo lakini kuna mtafiti mmoja bwana Kinsey alifanya utafiti kujua kwa wanaume na wanawake mara ngapi wanafikiria kuhusu sex 54% ya wanaume walisema mara nying sana kwa siku. 4% mara chache sana kwa mwezi.

Wakati wanawake wao 19% wanasema wanawazia sex kila siku au mara nying kwa siku.. 64% walisema mara chache kwa wiki na au kwa mwezi na 14% walisema ni mara moja kwa mwezi.. hii inaleta picha kuwa kwa kiasi kikubwa wanaume hufikiria sex zaidi kuliko wanawake. Wakati huo wanawake wakifikiria urembo,mapambo,starehe,vitu vya thamani,vito vya thamani,anasa n.k mwanaume fikra yake kubwa ipo kwenye SEX. Akimtizama mwanamke anawaza SEX tu…. Na hivi ni viashiria kadhaa kuwa mwanaume anawaza sex zaidi kuliko chochote anapomwona mwanamke.

WANAWAKE TAHADHARI. UKIONA MWANAUME -

1. anakuchekea chekea – anataka sex
2.
Anakutoa out kila wakati – anataka sex
3.
Anakusalimia kila wakati – anataka sex
4. Anajidai ni mwema sana kwako – anataka sex
5. Anaonesha kukujali sana– anataka sex
6. Zawadi kila mara ujue hana lolote huyo – anataka sex
7. Anakusifia sifia kila mara. Umependeza/we mzuri – anataka sex
8. Ana like kila picha yako – anataka sex
9.
Kila comment yako ,thread/post ana like – anataka sex
10. Anakusikiliza sana ukiwa unaongea huku anakutizama usoni- anataka sex
11. Popote unapotaka kwenda yupo tayari kukusindikiza – anataka sex
12. Anakubebea mizigo/pochi n.k – anataka sex
13. Kila jambo yeye anakutetea – anataka sex
14. Anakutaja taja kila wakati- anataka sex
15. Anakuonea aibu wakati mwingine kwa uoga – anataka sex
16. Mmekaa wote kwenye siti anajisemesha semesha - anataka sex
17. Anajionesha onesha au kujionesha ana pesa kwako - anataka sex
18. Kila wakati kukutakia siku,usiku mwema,kukujulia hali - anataka sex
19. Anakufata fata kila uendapo anataka muwe wote - anataka sex
20. Anajifanya ana kulinda na pia kukuonea wivu - anataka sex

kwa kiasi kikubwa wanaume asilimia 80 wataenda motoni kwa dhambi ya uzinzi kwa sababu kumbuka ni mara ngapi umemvua dada wa watu au mke wa mtu nguo akiwa anatembea?yaani mawazo yako yakaelekea kwenye sex baada ya kumwona? ni mara ngapi umewaza "nikimpata yule" kwa mdada ambaye si mkeo?
Ni sawa ila kusema mwanaume kila baada ya sekunde 7 anafikilia sex hapa si kweli rafiki.mimi pamoja na wanaume wengine kwa % kubwa tunafikilia pesa...basi
 
Sawa ..ila na nyie wanawake mjijue kabisa moto wa next level au wa kiwango cha phd unawasubiri.....ndio mlisababisha....kutimuliwa bustanini aden....ndio mpaka leo....hali ndio hiyo mnayoiona....
 
Haya mi kipi
Kama ningeuliza wanaume kadhaa randomly … kuwa unafikiria nini kila bada ya dk 20 au kila unapomwona mwanamke? Sijui jibu ambalo ningepewa lakini wataalamu wanasema wanaume wanafikiria sex kila baada ya sekunde 7. Hii inamanisha kuwa zaidi ya mara 500 kila baada ya saa moja na zaidi ya mara 8000 ndani ya masaa 16 akiwa hajalala….(ha ha ha akilala anaota pia jambo hilo “wet dreams” ingawa haujafanyika utafiti haswa haswa kuhusiana na hilo lakini kuna mtafiti mmoja bwana Kinsey alifanya utafiti kujua kwa wanaume na wanawake mara ngapi wanafikiria kuhusu sex 54% ya wanaume walisema mara nying sana kwa siku. 4% mara chache sana kwa mwezi.

Wakati wanawake wao 19% wanasema wanawazia sex kila siku au mara nying kwa siku.. 64% walisema mara chache kwa wiki na au kwa mwezi na 14% walisema ni mara moja kwa mwezi.. hii inaleta picha kuwa kwa kiasi kikubwa wanaume hufikiria sex zaidi kuliko wanawake. Wakati huo wanawake wakifikiria urembo,mapambo,starehe,vitu vya thamani,vito vya thamani,anasa n.k mwanaume fikra yake kubwa ipo kwenye SEX. Akimtizama mwanamke anawaza SEX tu…. Na hivi ni viashiria kadhaa kuwa mwanaume anawaza sex zaidi kuliko chochote anapomwona mwanamke.

WANAWAKE TAHADHARI. UKIONA MWANAUME -

1. anakuchekea chekea – anataka sex
2.
Anakutoa out kila wakati – anataka sex
3.
Anakusalimia kila wakati – anataka sex
4. Anajidai ni mwema sana kwako – anataka sex
5. Anaonesha kukujali sana– anataka sex
6. Zawadi kila mara ujue hana lolote huyo – anataka sex
7. Anakusifia sifia kila mara. Umependeza/we mzuri – anataka sex
8. Ana like kila picha yako – anataka sex
9.
Kila comment yako ,thread/post ana like – anataka sex
10. Anakusikiliza sana ukiwa unaongea huku anakutizama usoni- anataka sex
11. Popote unapotaka kwenda yupo tayari kukusindikiza – anataka sex
12. Anakubebea mizigo/pochi n.k – anataka sex
13. Kila jambo yeye anakutetea – anataka sex
14. Anakutaja taja kila wakati- anataka sex
15. Anakuonea aibu wakati mwingine kwa uoga – anataka sex
16. Mmekaa wote kwenye siti anajisemesha semesha - anataka sex
17. Anajionesha onesha au kujionesha ana pesa kwako - anataka sex
18. Kila wakati kukutakia siku,usiku mwema,kukujulia hali - anataka sex
19. Anakufata fata kila uendapo anataka muwe wote - anataka sex
20. Anajifanya ana kulinda na pia kukuonea wivu - anataka sex

kwa kiasi kikubwa wanaume asilimia 80 wataenda motoni kwa dhambi ya uzinzi kwa sababu kumbuka ni mara ngapi umemvua dada wa watu au mke wa mtu nguo akiwa anatembea?yaani mawazo yako yakaelekea kwenye sex baada ya kumwona? ni mara ngapi umewaza "nikimpata yule" kwa mdada ambaye si mkeo?

Haya baada ya kuyasema hayo ni kipi sasa ambacho akifanya kitaashiria kuwa hataki sex.
 
Mashairi mazuri sanaa lakini Mzee Yusuph kastaafu ungemuuzia
 
He,heh...kila coment ana like anataka****
Asante mkuu umeeleweka
 
KWA NINI WANAWAKE
1.Ukimkuta amejiremba anawaza kumvutia mwanamume (SEX)
2. Akivaa nywele za Marehemu na vitu vya bandia kama Mdoli anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

3. Akiweka makalio ya kichina kama Bata mzinga anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

4. Akivaa nguo za nusu uchi au uchi kabisa anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

5. Akiwa anaongea kwa kurembua kama nyau anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

6. Madoido yote ya kishetani wanayoyafanya anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

NB. Akitembea bila kusifiwa na Mwanamume au Kutongozwa Anajihoji sana hata anaweza kwenda kwa mganga Da!!! WOMEN ALOOOOOOO
 
Acha zako ww sio kila tafiti iko sawa kiivyo, hivi kila baada ya sekunde 7 mtu uwaze sex utakuwa na maendeleo kweli. Shika adabu yako ww
 
Kuna kaukweli, ila si kwa wote na maswala ya motoni au mbinguni muachie Mungu, yeye ndiye anayeamua,
 
Ila Sasa mbona External muoneka ni kama Wao ndo Wa nataka zaidi Maana Nivigumu kukuta Men Yupo uchi au Anapiga picha ameshika Dushe Ni wao ndo wanaonesha uhitaji through Mavazi,picha, na Hata kuanza kufanya Mapenzi kwa umri mdogo zaidi yetu,,May be Aliyefanya utafti Walimuonea Aibu kama kawaida yao maana wao hata kama nimke wako hakuambii Utaona tu Mara njoo tunyoane mav,,,zi kumbe a nataka dushe ila Mwanaume Atasema tu Njoo chumbanii nipige kamoja,,Nahisi Validity ya research ilir
 
Kama ningeuliza wanaume kadhaa randomly … kuwa unafikiria nini kila bada ya dk 20 au kila unapomwona mwanamke? Sijui jibu ambalo ningepewa lakini wataalamu wanasema wanaume wanafikiria sex kila baada ya sekunde 7. Hii inamanisha kuwa zaidi ya mara 500 kila baada ya saa moja na zaidi ya mara 8000 ndani ya masaa 16 akiwa hajalala….(ha ha ha akilala anaota pia jambo hilo “wet dreams” ingawa haujafanyika utafiti haswa haswa kuhusiana na hilo lakini kuna mtafiti mmoja bwana Kinsey alifanya utafiti kujua kwa wanaume na wanawake mara ngapi wanafikiria kuhusu sex 54% ya wanaume walisema mara nying sana kwa siku. 4% mara chache sana kwa mwezi.

Wakati wanawake wao 19% wanasema wanawazia sex kila siku au mara nying kwa siku.. 64% walisema mara chache kwa wiki na au kwa mwezi na 14% walisema ni mara moja kwa mwezi.. hii inaleta picha kuwa kwa kiasi kikubwa wanaume hufikiria sex zaidi kuliko wanawake. Wakati huo wanawake wakifikiria urembo,mapambo,starehe,vitu vya thamani,vito vya thamani,anasa n.k mwanaume fikra yake kubwa ipo kwenye SEX. Akimtizama mwanamke anawaza SEX tu…. Na hivi ni viashiria kadhaa kuwa mwanaume anawaza sex zaidi kuliko chochote anapomwona mwanamke.

WANAWAKE TAHADHARI. UKIONA MWANAUME -

1. anakuchekea chekea – anataka sex
2.
Anakutoa out kila wakati – anataka sex
3.
Anakusalimia kila wakati – anataka sex
4. Anajidai ni mwema sana kwako – anataka sex
5. Anaonesha kukujali sana– anataka sex
6. Zawadi kila mara ujue hana lolote huyo – anataka sex
7. Anakusifia sifia kila mara. Umependeza/we mzuri – anataka sex
8. Ana like kila picha yako – anataka sex
9.
Kila comment yako ,thread/post ana like – anataka sex
10. Anakusikiliza sana ukiwa unaongea huku anakutizama usoni- anataka sex
11. Popote unapotaka kwenda yupo tayari kukusindikiza – anataka sex
12. Anakubebea mizigo/pochi n.k – anataka sex
13. Kila jambo yeye anakutetea – anataka sex
14. Anakutaja taja kila wakati- anataka sex
15. Anakuonea aibu wakati mwingine kwa uoga – anataka sex
16. Mmekaa wote kwenye siti anajisemesha semesha - anataka sex
17. Anajionesha onesha au kujionesha ana pesa kwako - anataka sex
18. Kila wakati kukutakia siku,usiku mwema,kukujulia hali - anataka sex
19. Anakufata fata kila uendapo anataka muwe wote - anataka sex
20. Anajifanya ana kulinda na pia kukuonea wivu - anataka sex

kwa kiasi kikubwa wanaume asilimia 80 wataenda motoni kwa dhambi ya uzinzi kwa sababu kumbuka ni mara ngapi umemvua dada wa watu au mke wa mtu nguo akiwa anatembea?yaani mawazo yako yakaelekea kwenye sex baada ya kumwona? ni mara ngapi umewaza "nikimpata yule" kwa mdada ambaye si mkeo?
Inategemea na Wakati/Hadhi/Kujitambua kwa Mwanaume.

Kati ya Jinsia ya Kike na Kiume.

Jinsia ya Kiume inaongoza kupenda tendo la Ngono kuliko jinsia ya Kike.

Kwa tafsiri kupenda(unyenyekevu),jinsia ya Kike inaongoza kupenda kama kupenda(not necessary sex) .

From there...dhana hii kupenda "ngono tu" ndiyo ikakupa picha ya kuonyesha hizi hisia....ndiyo maana leo duniani KOTE huwezi kukuta yafuatayo;

1.Mwanamme Kichaa kampa Mimba Mwanamke mwenye utimamu.

2.Kusikia kuna Mtaa fulani wanaume HB wamejipanga na boxer zao wanasubiri wanawake.

Kwa YOTE haya mawili juu ndiyo yanaleta Dhana hii ya Jinsia ya Kiume kupenda zaidi tendo la Ngono,kwa kua jinsia hii ya Kiume imenyimwa ule upendo wa "kunyenyekea" na jinsia ya kike kua wanyenyekevu ndipo zigo la kuonekana wanapenda sana ngono likadondokea kwao....ila Mwanamke anaweza akakupenda kwa sauti yako/nguo yako/namna unavyoshauri /unavyotembea....ila akawa hajafocus na ww ktk sex...ndiyo maana hata kukushirikisha ktk kumtafutia mtu atakuambia.

Hence,kwa YOTE hapo juu TABIA husika ya Mwanaume ndiyo italeta tafsiri Chana au Hasi katika hisia hizi ila si Kweli kwamba ni LAZIMA.
 
Back
Top Bottom