Mwanamke: Mwanaume anapokuangalia anakuona mpaka ndani, viashiria hivi zingatia

Sasa Fisi maji si atakua amevunja rekodi ya dunia ,maana yule hata ujani ukimgusa yeye ni gegedo tu ,
 
Katika ulimwengu wa miili yetu mleta mada yuko sahihi 100%.
Ni pale tu unapoturn to moral being and virtues ndipo utaanza kwa kuwatamani wanawake lakini bila kufanya nao ngono na ukienda mbele zaidi kwa kuifanya akili yako safi basi hutawaza hata hiyo sex ukiwaona. Ndio maana pamoja na tamaa zote hizo huwezi mtamani au kufanya sex na dada, mama, shangazi nk japo ni wanawake kama wengine
Na hapo ndipo utaweza kutenganisha binadamu kama kiumbe bora na binadamu kama mnyama tu!
 
Ni sawa ila kusema mwanaume kila baada ya sekunde 7 anafikilia sex hapa si kweli rafiki.mimi pamoja na wanaume wengine kwa % kubwa tunafikilia pesa...basi
 
Sawa ..ila na nyie wanawake mjijue kabisa moto wa next level au wa kiwango cha phd unawasubiri.....ndio mlisababisha....kutimuliwa bustanini aden....ndio mpaka leo....hali ndio hiyo mnayoiona....
 
Haya mi kipi

Haya baada ya kuyasema hayo ni kipi sasa ambacho akifanya kitaashiria kuwa hataki sex.
 
Mashairi mazuri sanaa lakini Mzee Yusuph kastaafu ungemuuzia
 
He,heh...kila coment ana like anataka****
Asante mkuu umeeleweka
 
KWA NINI WANAWAKE
1.Ukimkuta amejiremba anawaza kumvutia mwanamume (SEX)
2. Akivaa nywele za Marehemu na vitu vya bandia kama Mdoli anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

3. Akiweka makalio ya kichina kama Bata mzinga anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

4. Akivaa nguo za nusu uchi au uchi kabisa anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

5. Akiwa anaongea kwa kurembua kama nyau anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

6. Madoido yote ya kishetani wanayoyafanya anawaza kumvutia mwanamume (SEX)

NB. Akitembea bila kusifiwa na Mwanamume au Kutongozwa Anajihoji sana hata anaweza kwenda kwa mganga Da!!! WOMEN ALOOOOOOO
 
Acha zako ww sio kila tafiti iko sawa kiivyo, hivi kila baada ya sekunde 7 mtu uwaze sex utakuwa na maendeleo kweli. Shika adabu yako ww
 
Kuna kaukweli, ila si kwa wote na maswala ya motoni au mbinguni muachie Mungu, yeye ndiye anayeamua,
 
Ila Sasa mbona External muoneka ni kama Wao ndo Wa nataka zaidi Maana Nivigumu kukuta Men Yupo uchi au Anapiga picha ameshika Dushe Ni wao ndo wanaonesha uhitaji through Mavazi,picha, na Hata kuanza kufanya Mapenzi kwa umri mdogo zaidi yetu,,May be Aliyefanya utafti Walimuonea Aibu kama kawaida yao maana wao hata kama nimke wako hakuambii Utaona tu Mara njoo tunyoane mav,,,zi kumbe a nataka dushe ila Mwanaume Atasema tu Njoo chumbanii nipige kamoja,,Nahisi Validity ya research ilir
 
Inategemea na Wakati/Hadhi/Kujitambua kwa Mwanaume.

Kati ya Jinsia ya Kike na Kiume.

Jinsia ya Kiume inaongoza kupenda tendo la Ngono kuliko jinsia ya Kike.

Kwa tafsiri kupenda(unyenyekevu),jinsia ya Kike inaongoza kupenda kama kupenda(not necessary sex) .

From there...dhana hii kupenda "ngono tu" ndiyo ikakupa picha ya kuonyesha hizi hisia....ndiyo maana leo duniani KOTE huwezi kukuta yafuatayo;

1.Mwanamme Kichaa kampa Mimba Mwanamke mwenye utimamu.

2.Kusikia kuna Mtaa fulani wanaume HB wamejipanga na boxer zao wanasubiri wanawake.

Kwa YOTE haya mawili juu ndiyo yanaleta Dhana hii ya Jinsia ya Kiume kupenda zaidi tendo la Ngono,kwa kua jinsia hii ya Kiume imenyimwa ule upendo wa "kunyenyekea" na jinsia ya kike kua wanyenyekevu ndipo zigo la kuonekana wanapenda sana ngono likadondokea kwao....ila Mwanamke anaweza akakupenda kwa sauti yako/nguo yako/namna unavyoshauri /unavyotembea....ila akawa hajafocus na ww ktk sex...ndiyo maana hata kukushirikisha ktk kumtafutia mtu atakuambia.

Hence,kwa YOTE hapo juu TABIA husika ya Mwanaume ndiyo italeta tafsiri Chana au Hasi katika hisia hizi ila si Kweli kwamba ni LAZIMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…