Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Kichwa cha habari chahusika mimi ni mkazi wa Dar es Salaam pia ni mtetezi wa wanyonge wa kila namna especially wanawake.
Nimeamua kutua mzigo alionao binti mwenye jinsia mbili but inayofanya kazi iwe ya kike tu. Wengi wenu mmekuwa na msongo wa mawazo kwa kuhofia kutengwa ila mimi nimedhamiria kumwoa kabisa kama tutaelewana katika vipengele vyote tutakavyokubaliana ikiwemo kupima afya zetu kuanzia VVU na homa ya ini.
Mengi tutazungumza faragha. Kama upo kwenye hali hiyo na unahisi woga na hofu sasa nicheki PM tuyajenge maisha yetu.
Nimeamua kutua mzigo alionao binti mwenye jinsia mbili but inayofanya kazi iwe ya kike tu. Wengi wenu mmekuwa na msongo wa mawazo kwa kuhofia kutengwa ila mimi nimedhamiria kumwoa kabisa kama tutaelewana katika vipengele vyote tutakavyokubaliana ikiwemo kupima afya zetu kuanzia VVU na homa ya ini.
Mengi tutazungumza faragha. Kama upo kwenye hali hiyo na unahisi woga na hofu sasa nicheki PM tuyajenge maisha yetu.