Kubbra Hooda
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 208
- 297
Wewe unatumia niniSawa
Chochote unachotumia wewe, na mimi natumia agata wangu...njoo tuyajengeWewe unatumia nini
HahaaaChochote unachotumia wewe, na mimi natumia agata wangu...njoo tuyajenge
Nicheki pm basi nikupeleke nyumbani nikakutambulisheHahaaa
Hizi Bahati huwa hazijirudii Mara mbili 😀 😀 😀Nicheki pm basi nikupeleke nyumbani nikakutambulishe
Tattoo ni mfano wa mihuri waliopigwa mateka wa majeshi ya Roma,,,,Kuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya shetani?
haya sasa nakukosa hivi hivi sababu ya ushenzi wako..
Kuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya shetani?
haya sasa nakukosa hivi hivi sababu ya ushenzi wako..
WACHORA TATTOO NI MALAYA KAMA UNATAKA KUOA MALAYA OAKuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya shetani?
haya sasa nakukosa hivi hivi sababu ya ushenzi wako..
Acha aoe kahaba lililokubuhuhayo makitu huwa wanachora malaya waliokubuhu mara nyingi sasa angalia usijiingize kwenye moto!!!
Niambie mtoto uliyeponea kwenye tundu la sindanoSitumii chochote