Mwanamke mwenye tattoo

Mwanamke mwenye tattoo

Malaya na mashoga ndio wanakuwaga na hayo matatuu mtu unayejiheagimu huwezi kujichora mwilini kama moko
 
Kuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya shetani?
haya sasa nakukosa hivi hivi sababu ya ushenzi wako..
Tattoo ni mfano wa mihuri waliopigwa mateka wa majeshi ya Roma,,,,

Walikuwa wanapigwa mihuri ya moto kama utambulisho wa mtumwa/mateka.


Tatoo kwa sasa imeboreshwa ,, mtu anawezwa chorwa kienyeji au hata kwa vifaa vya kisasa...

Binafsi naona ni ushamba usio na maana zaidi ya kuharibu uzuri wa ngozi.
 
Kwani ukienda kumtambulisha utamvua nguo hadi waone hiyo tatoo
Kuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya shetani?
haya sasa nakukosa hivi hivi sababu ya ushenzi wako..
 
Kuna mwanamke ana tattoo kwenye ziwa ,nampenda na natamani awe mke wangu,lkn nikiwaza ule mtatoo siku nikimpeleka kumtambulisha kwa ndugu zangu wakaiona ile tattoo si itakuwa taflani?
hivi nyie wanawake mna nini?
huu utamaduni wa kishenzi mmeuiga wa nini?ni lazima uwe na hayo ma alama ya shetani?
haya sasa nakukosa hivi hivi sababu ya ushenzi wako..
WACHORA TATTOO NI MALAYA KAMA UNATAKA KUOA MALAYA OA
 
kuchora tatoo ni usela mavi tena ule wakuhalisha kabisa
 
Back
Top Bottom