Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Hii ni Research ya Watu wanagapi? Yaan sample Size yako ni ngapiUkiondoa wale ambao ni kama ugonjwa ila kwa wengine mliobaki ni uchafu na kutojijali.
Unakutana na bint mzuri kajipamba mwenyewe wanja , shedo , wigi , mikope na mikucha ya bandia, lakini mwangalie mguuni "makegete" yamemjaa utafikiri anashindaga kufyatua tofali za kuchoma.
Mtasingizia viatu vyenu vya wazi ila ukweli mkienda bafuni mnasuguaga Uso tu.
Wengi sio wote.Hii ni Research ya Watu wanagapi? Yaan sample Size yako ni ngapi
Ukiondoa wale ambao ni kama ugonjwa ila kwa wengine mliobaki ni uchafu na kutojijali.
Unakutana na bint mzuri kajipamba mwenyewe wanja , shedo , wigi , mikope na mikucha ya bandia, lakini mwangalie mguuni "makegete" yamemjaa utafikiri anashindaga kufyatua tofali za kuchoma.
Mtasingizia viatu vyenu vya wazi ila ukweli mkienda bafuni mnasuguaga Uso tu.
Halaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lol sa mkuu chogo ni maumbile ila magaga ni kujiendekeza tuHalaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Lol sa mkuu chogo ni maumbile ila magaga ni kujiendekeza tu
nimecheka duuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Halaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
ASEEE jamaa ni mjinga wewe....nmecheka atariiiHalaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
HahahaHalaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
chogo ni maumbile sagamba ni uchafu mkuu.Halaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
Research yangu inaniambia wenye vichogo wapo smart upstairs kuliko wasio na chogo.Halaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
[emoji3][emoji3][emoji3]Halaf unakuta ww na kshfa zote hizi una chogo
Hakuna Mwanamke anaependeza kwa kuvaa WIGI, basi akili zao wanazijua wenyewe.Ukiondoa wale ambao ni kama ugonjwa ila kwa wengine mliobaki ni uchafu na kutojijali.
View attachment 816717
Unakutana na bint mzuri kajipamba mwenyewe wanja , shedo , wigi , mikope na mikucha ya bandia, lakini mwangalie mguuni "makegete" yamemjaa utafikiri anashindaga kufyatua tofali za kuchoma.
Mtasingizia viatu vyenu vya wazi ila ukweli mkienda bafuni mnasuguaga Uso tu.