Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Huyu anayefuata hela hana shida, tatizo ni hawa ambao unatengeneza nao urafiki wa kudumu kwenye mahusianotatizo huhudhurii vikao, tulishasema hela haitumwi tena, inafuatwa geto.... hii ndo njia sahihi
Mwanamke gani tulia na mkewako hayo maswali waliosingle ndo waulize😀Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?
Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.
Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.
Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
mkuu una sononaHuyu anayefuata hela hana shida, tatizo ni hawa ambao unatengeneza nao urafiki wa kudumu kwenye mahusiano
[emoji38]mkuu una sonona
Ebu njoo chumbani tuongee 😀 😀Mwanamke gani tulia na mkewako hayo maswali waliosingle ndo waulize😀
Ndio nini hiyo?mkuu una sonona
Aje alete neno
msongo wa mawazoNdio nini hiyo?
asiyeomba pesaWakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
Hawa wengi wanatoa ahadi hewa, unakuta umejiandaa kwa shoo halafu atokei; wakati ulishatumia mburundiHAmbaye haombi hela
😀😀Ebu njoo chumbani tuongee 😀 😀
tunaridhika basi.....Mwanamke gani tulia na mkewako hayo maswali waliosingle ndo waulize😀
Hawa wanatoa ahadi hewaasiyeomba pesa
sonona itakumalizaMwanamke mzuri Ni Mama yako mzazi