situjadiriane
Member
- Jan 5, 2023
- 41
- 49
1. Awe ana kuheshimu na kukutii.......Ndugu wana jamii forum naomba kuuliza swali? Swali langu linaweza kuonekana la kawaida Ila Lina maana kubwa wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia. Making wengine husema uzuri wa Mwanamke ni sura.
Je kati ya haya mawili sura na tabia lipi lipewe kipaumbele ninapochagua mchumba? Naomba kuwasilisha
Jibu lipo hapo.Lakini,vijana kwa kutaka kuuza sura na mabibie watagoma kukubali.Tabia inaweza kurekebishwa vipi sura
Enzi za ujana nilipata rafiki wa kike mwenye sura mbovu hasa.....lakini kwa upande wa ''machine''..asalalee....ni mtamu kupindukia na kuzidi.........Ndugu wana jamii forum naomba kuuliza swali? Swali langu linaweza kuonekana la kawaida Ila Lina maana kubwa wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia. Making wengine husema uzuri wa Mwanamke ni sura.
Je kati ya haya mawili sura na tabia lipi lipewe kipaumbele ninapochagua mchumba? Naomba kuwasilisha
Wewe oa mwenye tako tuu, tabia wote wañafanàna ilà tàko hazifanani.Ndugu wana jamii forum naomba kuuliza swali? Swali langu linaweza kuonekana la kawaida Ila Lina maana kubwa wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia. Making wengine husema uzuri wa Mwanamke ni sura.
Je kati ya haya mawili sura na tabia lipi lipewe kipaumbele ninapochagua mchumba? Naomba kuwasilisha
Mashallah mashallah 👌Wewe oa mwenye tako tuu, tabia wote wañafanàna ilà tàko hazifanani.
Mwanangu Yan tukuchagulie na mtu WA kumpends😅mwanangu tuwaze michongo kwanzaNdugu wana jamii forum naomba kuuliza swali? Swali langu linaweza kuonekana la kawaida Ila Lina maana kubwa wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia. Making wengine husema uzuri wa Mwanamke ni sura.
Je kati ya haya mawili sura na tabia lipi lipewe kipaumbele ninapochagua mchumba? Naomba kuwasilisha