Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
hapana.
Dah, kwa hiyo wewe si Mzuri Kuolewa au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana.
Mtoa mada ameanza na sentensi hii"ukitaka kuoa oa mwalimu" kwa sentensi kama hii we umeelewaje? Ndo maana nikasema kazi ya mtu haina uhusiano na maisha ya ndoa! Maisha ya ndoa ni kupendana,kuvumilana!na kuheshimiana!Kinachozungumzwa ni tabia za jumla za makundi ya watu katika jamii. Mfano kuna makundi kama walimu, wanasheria, askari, mama lishe, madaktari, wanasiasa n.k. Watu wa kundi moja huwa na tabia zinazowatofautisha na wengine katika makundi tofauti. Hata hivyo si ajabu baadhi ya watu wa kundi moja kuwa na tabia fulani za walio katika kundi jingine. Sasa kilichopo hapa ni mapendekezo kutokana na kundi la walimu. Watu wanaowafahamu walimu (kwa ujumla wao) wanatoa changamoto ambazo kwa sasa ni kupendekeza sifa chanya na hata hasi za wanawake katika kundi hili.
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.
Kwa hiyo ulichoandika ni tofauti na kile ulichokua unafikiria?umejibu vizuri.
Kwa hiyo sisi mamessenger tusiolewe jamani nyie watu mna balaa nyie. Mwanamke mzuri wa kuoa ni yule mwenye tabia na maadili mema, mwenye heshima, adabu, uvumilivu bila kusahau upendo. Hiyo ni taaluma tu hakuna uhusiano na kuolewa
Badilisha basi maneno yako kwenye thread ili watu wakuelewe vizuri!hapana dena, kila mtu ataolewa bila kujali taaluma yake ila hiyo ni tabia ya kiujumla ya kundi la walimu.
Sasa badilisha au edit thread yako isomeke kuwa "Tabia za Walimu"hapana dena, kila mtu ataolewa bila kujali taaluma yake ila hiyo ni tabia ya kiujumla ya kundi la walimu.
Inaelekea hii imekuuma sana teh teh teh :A S-alert1:Kwa hiyo wote wasiokua walimu wasiolewe? Au hapa mnamaanisha nn? Kama kila mtu aamue kufuata huu ushauri?
Mie zaid sana kuliko KimeyInaelekea hii imekuuma sana teh teh teh :A S-alert1:
Hebu nisome vizuri sio unaleta ushabiki wa kitoto!Inaelekea hii imekuuma sana teh teh teh :A S-alert1:
we unaonaje?
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.
Id yangu ni utata nini? Mimi ni mwanamke. Sawa nitamwita mme wangu kwa cheo chake. Cjui atakuwa mwalimu..!!
Mke/mume mwema anatoka kwa Mungu.Period