AK47 TRIGER
Member
- Feb 27, 2013
- 57
- 8
Naendelea
Humu kla m2 ana akili zke labda uende FB
Hici kweli kuna mwanamke mzuri aliye umbika amekaa kama mimi anatafuta aliye single kwa upande wangu siamini labda mniambie nyie kwa sababu naona wote ni players
Wengi wao FB ndo wana akili hizo@hiroaki
Mimi handsome najikubali lakini sijui nifanyeje ili nipate mzuri kwa sasa nimefika mwisho
Mimi sio domo zege basi sijamuona nitakaye mpenda
Huo udomo zege sio mimi dude
Mwanaume hajisifii sura......hao mara nyingi hutokea kuwa sio rizki.......mwanaume sifa yake ipo kwa wallet na bed........