platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Wewe Kikuyu acha uoga !!!!Hehehehe.....
Hii noma, haya bwana mkae na wake zenu hatuwagusi. Yaani inabidi mwanamke unipe ushahidi tosha kwamba hujaolewa kabla hata nikuulize jina na namba ya simu. Aibu za hivi sizitaki, unaanikwa kwenye runinga ya taifa...