Mwanamke ni kiumbe asiyeishiwa maajabu

Hivi ndo vituko vya wadada maofisini halafu maskini wanakuja kujuta baadae wakichelewa kuolewa.

Anaweza kukununia hadi unashangaa wakati alijibalaguza mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1][emoji1] Sasa mtu aanze kukusifia hivi na vile anahitaji ujuzi gani wa nyongeza kutongoza? Kukusifia kule si maana yake ameshakukubali anasubiri umwambie tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Bado, ndo maana nikakwambia rudi chimbo au darasani utafute mbinu uliyoiruka...

Raha ya hiyo mbinu uigundue mwenyewe na si uambiwe fanya hivii...

Wakija wanaume wenzio watakuuliza how old are you? Japo by mambo haijalishi umri ulionao.
 
Tumia bahati kijana. Ndio moja ya maringo ya wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtu 1 umepewa majibu yote hayo ๐Ÿ˜‚ nilikuwa nakuheshimu Sana kumbe na wewe una mambo hayo ๐Ÿ˜‚bhasi bhn
 
Bado, ndo maana nikakwambia rudi chimbo au darasani utafute mbinu uliyoiruka...

Raha ya hiyo mbinu uigundue mwenyewe na si uambiwe fanya hivii...

Wakija wanaume wenzio watakuuliza how old are you? Japo by mambo haijalishi umri ulionao.
Hahahaha....ila wanawake mnatabu sana, yaani utakuta unahangaika kubembeleza, unajibebisha...yeye amekomaa kukataa tu... halafu ukifanikiwa mkaingia kwenye uwanja wa burudani....daaaah!!! Yaani nguo yake ya kwanza kuvaa ya mwisho kuvuliwa ishalowa kitamboo!!! Sasa unajiuliza, kama alikuwa na hamu kiasi hiki, kwanini anasumbua?

Ki ukweli tukianza kuwachenjia nyie ndo mtaumia, mtahangaika kufua hizo nguo wakati hata hamjafaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtu 1 umepewa majibu yote hayo [emoji23] nilikuwa nakuheshimu Sana kumbe na wewe una mambo hayo [emoji23]bhasi bhn
Alafu anayetoa majibu hayo, Mara paap umefanikiwa kumvuta ndani....anavyokuvamia hata huwezi amini! Mtoto wa watu unakuta kashalowa tepetepe! Nyie viumbe nyie Mungu anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu anayetoa majibu hayo, Mara paap umefanikiwa kumvuta ndani....anavyokuvamia hata huwezi amini! Mtoto wa watu unakuta kashalowa tepetepe! Nyie viumbe nyie Mungu anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hapo na wewe unachakata ukimaliza unaanza kumshangaa na yeye kumbe anamambo hayo hadi kaloa๐Ÿคท
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo na wewe unachakata ukimaliza unaanza kumshangaa na yeye kumbe anamambo hayo hadi kaloa[emoji1745]
Hahahaha....tena ikibidi unamsanifu kabisa... yaani kuruka ruka koote kule kumbe ulikuwa na hamu hata zaidi yangu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu pole sanaa jipange kwa mwingine

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Waimbie kale ka wimbo ka ki lugha cha kwenu! mmoja mmoja akiduwaa tu, kula kitu. wa ingie kimasihara, yaani hapo sioni maajabu yao wewe ndiyo wa ajabu! tena sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ