Mwanamke ni lazima ajue kupika?

Mm kipika sikatai, ila tatzo n kuosha vyombo na kuwasha lile jiko letu la mkaa
 
hio ni natural, its not a responsibility.. kupika ni respobsibility ya mwanamke lazima ajue kupika.
TATIZO la nani unadhani mimi naona ni wazazi hasa hawa wenye mabeki tatu
 
Kimantiki sio lazima. Kiafrika NI LAZIMA
 
Zamani kama mke ameshaolewa halafu ikagundulika hajui kupika basi mume anamrudisha kwao (hamuachi talaka) akafundishwe kupika.kitendo cha kurudishwa ni aibu kubwa kwa familia
 
kuwa na beki 3 sio shida, tatizo ni la wazazi wanaolea watoto wao wa kike kama Malkia Elizabeth.
hiyo zaidi ya malkia mkuu maana hili tatizo lipo kwa hawa wenye mabeki tatu ndio ,maana siwataki thanks wife hapendi pia mtoto mlee ajue majukumu yake hata wa kiume muhimu kumfunza kupika kuna kipindi upo peke yako
 
hiyo zaidi ya malkia mkuu maana hili tatizo lipo kwa hawa wenye mabeki tatu ndio ,maana siwataki thanks wife hapendi pia mtoto mlee ajue majukumu yake hata wa kiume muhimu kumfunza kupika kuna kipindi upo peke yako

hahahh, umenikumbusha mbali sana kipindi nipo chuo nilikua naishi kibatch, nilikua napika huku naangalia recipes kupitia google. muhimu sana kujua kupika, mamsapu akiumwa unaingia jikoni unakorofisha tu.
ila hakuna mwanamke anaenoga kama anaejua kupika, ukimwona tu unaskia njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…