Mwanamke Nyonga Babu. Ni Nini?

Mwanamke Nyonga Babu. Ni Nini?

hapo Kaizer umesema , ndio hasa ulivyo huo msemo.
mwanamke nyonga makalio majaaliwa ,
nyonga inayosemewa hapa sio muonekano wa kiuno chenyewe , kinachomaanishwa hapa ni ule uwezo wa mwanamke whether ni namba nane ,saba au tisa au moja haijalishi kinachojalisha ni uwezo wake wa kuizungusha hiyo nyonga iwe kwenye muziki au sita kwa sita.
ndo maana wakasema mwanamke nyonga kwa maana kwamba hata usipojaaliwa hayo makalio makubwa unaweza ukajaaliwa kuzungusha kiuno en thats all counts to them, na pia waweza kuwa na makalio kama furushi na pia ukashindwa kukizungusha kiuno.
upo hapo fidel hiyo addiction yako ya kupenda kujiexpress yourself has nothing to do with this statement.

Sasa hapa atakayebisha basi tutajua tu ni mbishi kwa asili ila hapando naona kazi imeisha...lol asante kwa ufafanuzi!
 
upo hapo fidel hiyo addiction yako ya kupenda kujiexpress yourself has nothing to do with this statement.

Hapo umenena umegusa kitu ambacho nilikuwa nashindwa kukigusa kitu kama hicho cha mhimu ni kuzungusha kiuno ndo maana nakwambia nimepata mtoto wa kiuno we acha tu yaani ananirusha vibaya mno ngoja nisimwage mno sifa zake asije Masa au Nyani Ngabu akanipora full maufundi nyonga inanyongwa balaa.
 
Hapo umenena umegusa kitu ambacho nilikuwa nashindwa kukigusa kitu kama hicho cha mhimu ni kuzungusha kiuno ndo maana nakwambia nimepata mtoto wa kiuno we acha tu yaani ananirusha vibaya mno ngoja nisimwage mno sifa zake asije Masa au Nyani Ngabu akanipora full maufundi nyonga inanyongwa balaa.
hahahhaha shauriooo Tanga kunaniiii watakumaliza waogeshwa na maji ya iliki na mdarasini na vining'iniavyo vyote kuwekwa kwenye kijisahani, ukisema wataka kuondoka kesho nguo zako zote zarowekwa usiku, ikifika asubuhi huna cha kuvaa wapewa msuli tu kisha mtoto analala mapajani, ndo hapo safari ya kwenu inapokuwa mbali kama mwezini
 
hahahhaha shauriooo Tanga kunaniiii watakumaliza waogeshwa na maji ya iliki na mdarasini na vining'iniavyo vyote kuwekwa kwenye kijisahani

Hahahahahaha weweeeeeeeee kwi kwi kwi teh teh teh kama ulikuwepo na wewe wa huko huko nini? Dah yaani unajiexpress kitu kina manukato mazuri mpaka raha na wazee wa uviiiiiiiiiiiinza dah kama unakunywa chai vile jamani mnao taka kuoa pelekeni wachumba zenu TA wakafundwe achana na Kitchen Party hizi wizi mtupu.
 
Fidel mhh

Mabinti wa Kitanga we acha naamini mapenzi ndiko yaliko anzia wanajua jamani kupenda hawana roho za kwa nini visa,vinyongo wamefundishwa kupenda hata ambapo hapapendeki yaani wanajua kubembeleza kama ni nyoka basi anatoka pangoni yeye mwenyewe.....kama mnabisha nendeni mji funze jamani mimi nafaudu matunda ya Tanga Tanga kunani paleeee.
 
wazee wa uviiiiiiiiiiiinza dah kama unakunywa chai vile jamani mnao taka kuoa pelekeni wachumba zenu TA wakafundwe achana na Kitchen Party hizi wizi mtupu.

hahahhahahahha nimecheka mpaka basiii yaaani wewe duh!
 
hahahhahahahha nimecheka mpaka basiii yaaani wewe duh!

teh teh teh hiyo ndo yenyewe bana dah watoto wa Kitanga bana si mchezo hawa watoto wa Kichagga wasingekuwa na dharau wangekuwa wanashuka hapo Muheza,Korogwe au Tanga mjini kula maufundi sasa wao dah ndo hivyo wanakazana ndoa ndoa ukimpeleka maabara Practical F.
 
Itakuwa Nyonga etii?
Yeah ni katikati ya tumbo na kiuno ambapo mwanamke umbo linagawika na kuwa kama umbo namba 8 umeona nane hiyo ndo nyonga yenyewe inajazia mpaka wanaume wakwale wanatoa mate wakikuona. Vp kwani wewe hukoje?
Unapenda na wewe uvutie? Mchina kaleta mzigo wa madawa unajipaka kitu kinatutumuka tu unakuwa na kalio la ajabu.

mkuu Fidel baelezeee.mi nataka nijipata nione itakuwaje..tehhhh
 
Mwanamke deki??

yani ana anaenda mbele na nyuma pia anaenda au? manake deki bana, ina-forwad na ina-rewind, isipokuwa ku-play ni mbele tu!!
 
wazee wa uviiiiiiiiiiiinza dah kama unakunywa chai vile jamani mnao taka kuoa pelekeni wachumba zenu TA wakafundwe achana na Kitchen Party hizi wizi mtupu.

Akhsante, hapo umenena..yaani kitchen party za Dar ni wizi mtupu tangu lini mwali akafundwa hadharani? Tena na yeyote anayeweza kutoa mada!

Kwetu Tanga unafundwa ndani na sio siku moja tu, na utafundwa na watu wazima kila kitu kuanzia heshima, mapenzi, usafi, majukumu yako na kauli zako, hadi somo linakuingia.

Asanteni, Nawasilisha.
 
Hehehe nenda hapo Tanga mzee ooh usije ukahamia watu wanajua kupenda bana.


jamani mbona mnatunyanyapaa makabila mengine ,everything ..Tanga...hata mengine yanaweza bwana,embu jaribuni,hivyo viuno gani ya kusifia hivyo,kwanza ukiwa katikati ya shughuli hata hufanyi hivyo,ebo,!!!!

halafu mbona hawo waTanga hawakai kwenye ndoa!!!!
 
jamani mbona mnatunyanyapaa makabila mengine ,everything ..Tanga...hata mengine yanaweza bwana,embu jaribuni,hivyo viuno gani ya kusifia hivyo,kwanza ukiwa katikati ya shughuli hata hufanyi hivyo,ebo,!!!!

halafu mbona hawo waTanga hawakai kwenye ndoa!!!!

Mkuu punguza hasira LOL kukaa kwenye ndoa hilo ni jingine kabisa....
 
Mhh hao si ndo walifundwa mafiga matatu lol, wizi mtupu hawana lolote jamni vipi Wamakonde teh teh tehe Fidel hujawahi pitia??
 
Mhh hao si ndo walifundwa mafiga matatu lol, wizi mtupu hawana lolote jamni vipi Wamakonde teh teh tehe Fidel hujawahi pitia??


Hao habari zao nimezisikia tu,, na wenyewe wanatisha, kuna DAS ilibidi ahamishwe manake kuna mke wa mtu alimwonjesha jamaa akataka kuchonga mzinga,, unaambiwa alipewa zile za 'kulamba kipara' (jamaa alikuwa na upara)...duh mwenye kutaka ufafanuzi aniPM lakini ilikuwa ni balaa, hao na wenyewe sio wa kuchezea!😕
 
Mhh hao si ndo walifundwa mafiga matatu lol, wizi mtupu hawana lolote jamni vipi Wamakonde teh teh tehe Fidel hujawahi pitia??

Hahahaha naenda mwezi ujao vekesheni kusini nimepata sifa zao lakini kuna mmoja yupo mjini kila nikitaka kufanya practical anachomoa nimesikia sifa zao. Nitakuja na report mama usikonde.
 
Mhh hao si ndo walifundwa mafiga matatu lol, wizi mtupu hawana lolote jamni vipi Wamakonde teh teh tehe Fidel hujawahi pitia??

usiwapimie hao, wanapatikana kule maeneo ya mtongani karibu na mshine ya maji kuna mti mmoja mkubwa hivi, hapo walikua wanafanya kitchen party zao miaka hiyo, AIBUUUU!.
kwa ujumla kabila hili ukifanya mchezo mashine inaweza kuvunjika kwa jinsi wanavyozungusha mauono teh teeeh tehhe teh
icon10.gif
 
Hehehe nenda hapo Tanga mzee ooh usije ukahamia watu wanajua kupenda bana.

Tanga kunani? Kuna zile mpaka za kubembwa mgongoni ha ha ha Baba zima limebebwa mgongoni linaenda kuogeshwa akitoka hapo anaenda kulishwa kabla huduma rasmi hazijaanza. Kwanini njemba isihamie Tanga !? 😉
 
Labda mimi mnisaidie, baada ya hiyo nyonga kuzungusha/kumzungushia mwanaume kwa mfano kwako ww yo yo au fidel. NI YAPI MATOKEO WAKUU, kwa maana nyingine mnajisikia sikia aje yaani???
labda kwa wale ambao wahazungushi wakijua umuhimu wake kwa UNDANI wata anza kuchukua mazoezi
 
Back
Top Bottom