Mwanamke nywele bana, yaani unywele halafu wa kwake sio fekero

Mwanamke nywele bana, yaani unywele halafu wa kwake sio fekero

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Au nasema uongo ndugu zangu...

Mwanamke nywele bana, yaani unywele alafu wa kwake sio fekero.

Mtoto anaachia unywele unashuka mpaka kwa mgongo jamani.

Nywele nzuri safi zinapendeza kwa mwanamke na kivutio kwa mpenzi wake.

Hapa siongelei like wigi la Masanja hahaaa na semea Ile nywele ya asili ambayo Haina dawa alafu imekuwa ndefu.

Kuna wale wanzangu na mie ambao tumeweka dawa, alafu unywele unywele jamani yaani unagusa mgongo.

Acha wivu basi wewe mwanamke mwenye kipilipili, tulia watu waringe na nywele zao.

Achana na marasta muwasho, hapa ni nywele Ile uliyoumbwa nayo.

Wakaka wanapendezwa pia na nywele jamani mdada anafunua kibanio chake unywele kama unywele unamwagika.

Nyie acheni, mwanamke ni nywele na urembo unaongezeka jamani.

Wapewe maua yao wanawake wote ambao wana nywele ndefu za kupendeza.

Vipara kama vya kiumeni uzi hauwahusu...
 
Halafu wanavyojiona wamependeza sasa. Ukimjoke ukamwambia Umependeza, utasikia asante. Hahahaaa...!

Upendekeze kwa makati ya Tanga kama sungusungu.. Basi akigeuka na makatini yake namng'ong'a..

Sipendi hawa wanaovaa makatati yaliyotiwa rangi nyeusi. Kwanza wengi ni washerati
 
Screenshot_20231231-095544_Instagram.jpg


Hata mimi napenda hii
 
Halafu wanavyojiona wamependeza sasa. Ukimjoke ukamwambia Umependeza, utasikia asante. Hahahaaa...!

Upendekeze kwa makati ya Tanga kama sungusungu.. Basi akigeuka na makatini yake namng'ong'a..

Sipendi hawa wanaovaa makatati yaliyotiwa rangi nyeusi. Kwanza wengi ni washerati
[emoji23][emoji23] shemela
 
Back
Top Bottom