Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habari wakuu,
Au nasema uongo ndugu zangu...
Mwanamke nywele bana, yaani unywele alafu wa kwake sio fekero.
Mtoto anaachia unywele unashuka mpaka kwa mgongo jamani.
Nywele nzuri safi zinapendeza kwa mwanamke na kivutio kwa mpenzi wake.
Hapa siongelei like wigi la Masanja hahaaa na semea Ile nywele ya asili ambayo Haina dawa alafu imekuwa ndefu.
Kuna wale wanzangu na mie ambao tumeweka dawa, alafu unywele unywele jamani yaani unagusa mgongo.
Acha wivu basi wewe mwanamke mwenye kipilipili, tulia watu waringe na nywele zao.
Achana na marasta muwasho, hapa ni nywele Ile uliyoumbwa nayo.
Wakaka wanapendezwa pia na nywele jamani mdada anafunua kibanio chake unywele kama unywele unamwagika.
Nyie acheni, mwanamke ni nywele na urembo unaongezeka jamani.
Wapewe maua yao wanawake wote ambao wana nywele ndefu za kupendeza.
Vipara kama vya kiumeni uzi hauwahusu...
Au nasema uongo ndugu zangu...
Mwanamke nywele bana, yaani unywele alafu wa kwake sio fekero.
Mtoto anaachia unywele unashuka mpaka kwa mgongo jamani.
Nywele nzuri safi zinapendeza kwa mwanamke na kivutio kwa mpenzi wake.
Hapa siongelei like wigi la Masanja hahaaa na semea Ile nywele ya asili ambayo Haina dawa alafu imekuwa ndefu.
Kuna wale wanzangu na mie ambao tumeweka dawa, alafu unywele unywele jamani yaani unagusa mgongo.
Acha wivu basi wewe mwanamke mwenye kipilipili, tulia watu waringe na nywele zao.
Achana na marasta muwasho, hapa ni nywele Ile uliyoumbwa nayo.
Wakaka wanapendezwa pia na nywele jamani mdada anafunua kibanio chake unywele kama unywele unamwagika.
Nyie acheni, mwanamke ni nywele na urembo unaongezeka jamani.
Wapewe maua yao wanawake wote ambao wana nywele ndefu za kupendeza.
Vipara kama vya kiumeni uzi hauwahusu...