Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

ningekuwa namfahamu medrick leo angekunywa pombe sana sema ndio hivyo simfahamu unaweza kumpigisha vyombo kwa niaba yangu..

mimi huwa kila mshkaji wangu akizinguliwa na demu wake msaada wangu huwa ni kupiga vyombo to the maximum then kesho namwambia maisha lazma yaendelee tupa huyo tafuta mwingine hope somo umelipata hutafanya kosa tena
 
Kuna Bwana Mmoja Huwa anatoaga Somo Maridadi sana Humu Ndani, Kamwe Usimpe Mwanamke Moyo wako.. Mpe Gari ila sio Moyo!
 
Yeah braza, nmeelewa vyemaa sana
 
Ukweli utabaki palepale, mwanaume kuchepuka si tatizo sana kama mwanamke kuchepuka alafu kibaya zaidi aleta mchepuko ndani alafu wewe anakulaghai uende nje kumpisha mgeni. Hata kwenye Vitabu Vitakatifu kama Quran Tukufu na Biblia Takatifu utakuta kuna visa vya Wanaume kuoa mwanamke au kutembea na mwanamke zaidi ya mmoja na si tatizo wala ajabu, lakini ni nadra kukuta visa vya Mwanamke kumiliki mwanaume zaidi ya mmoja na kama atakuwepo basi Huyo atakuwa anaongelewa negatively. Hivyo wanawake msishindane na mwanaume eti kwa kuwa wao wanachepuka nanyi mchepuke ....adherence of the natural law must be regarded...
 
Mie nimecheka sana hilo neno "Mbususu"
 
hawa viumbe hawaeleweki hata kidogo....................................................................................................
 
Hatari hatari hapo kusamehewa hakupo ila ingekua demu kamfumania Jamaa angemsamehe. But whhhhhyyy!!!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…