dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Mkuu nayo hyo pia unaita akili..!![emoji15]Wanawake wanaakili nyingi sana kuliko sisi wanaume...ndyo maana huwa nawaheshimu na kuwaogopa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nayo hyo pia unaita akili..!![emoji15]Wanawake wanaakili nyingi sana kuliko sisi wanaume...ndyo maana huwa nawaheshimu na kuwaogopa!
Kumbuka demu anakojolewa ..mwanaume anakojoa. Sasa mwanamke unavyochepuka jiuze utabeba sha* za wanaume wangapi?Hatari hatari hapo kusamehewa hakupo ila ingekua demu kamfumania Jamaa angemsamehe. But whhhhhyyy!!!!???
Huyu jamaa ana uelewa mdogo sana ..et yeye anaona wana akiliMkuu nayo hyo pia unaita akili..!![emoji15]
Unafikiri mahips na makalio yatatoka wapi kama sio deposition za hizo protein zenu hahahaaaa NATANIAKumbuka demu anakojolewa ..mwanaume anakojoa. Sasa mwanamke unavyochepuka jiuze utabeba sha* za wanaume wangapi?
Haya.Ahaa kumbee...kwa akili hizi swala la kutoona ajabu katika usaliti kwako ni sawa tu!
Tunaenda na wakati.aaahaa sio kweli,mbona hawa mama zenu hawako hivyo,nyie tu mabinti wa siku hizi sijui mmekuwaje...!!
"Usichokijua kamwe hakitakutesa" hiyo kauli ina maana kubwa sana ni hivi kama mngeweza kufanya kwa usiri msijulikane na mka balance mapenzi kwa usawa na wote wawili wasijuane basi nakuhakikishia mapenzi yenu yangedumu ila,kitu hisia kwenu ndiyo kinaongoza akili hivyo ukishapata mwengine huyu wa mwanzo mapenzi yanapungua hapo tu ndiyo mmeshindwa .Kwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!
UnatusingiziaKwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!
Only u[emoji122] [emoji122]Mbona tupo wengi tuuu
Vinara halafu walafiUnatusingizia
Mwanaume akichepuka sio mbaya saaana,kwa sababu si tunachepuka na familia zetu tunazikumbuka..Tunaenda na wakati.
Mwanaume akichepuka sio mbaya saaana,kwa sababu si tunachepuka na familia zetu tunazikumbuka..
Nyie sasa,mshedede ukiwakolea huko mnawehuka hadi familia yako unaiona haifai,huikumbuki hata na dharau juu..
Vinara halafu walafi
Kwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!
kauli fikirishi hiyo...Wivu sina ila roho inauma.
ahahahahaaa...naona umetema nyongo...Shenz kabsa yani
Wa miili ya wanawakeYani walafi wa kula au kitu gani
Nani anaongozwa na hisia? Labda hao mi naongozwa na akili"Usichokijua kamwe hakitakutesa" hiyo kauli ina maana kubwa sana ni hivi kama mngeweza kufanya kwa usiri msijulikane na mka balance mapenzi kwa usawa na wote wawili wasijuane basi nakuhakikishia mapenzi yenu yangedumu ila,kitu hisia kwenu ndiyo kinaongoza akili hivyo ukishapata mwengine huyu wa mwanzo mapenzi yanapungua hapo tu ndiyo mmeshindwa .
Kingine hamjui kudanganya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122]Unafikiri mahips na makalio yatatoka wapi kama sio deposition za hizo protein zenu hahahaaaa NATANIA