Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Kwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!
"Usichokijua kamwe hakitakutesa" hiyo kauli ina maana kubwa sana ni hivi kama mngeweza kufanya kwa usiri msijulikane na mka balance mapenzi kwa usawa na wote wawili wasijuane basi nakuhakikishia mapenzi yenu yangedumu ila,kitu hisia kwenu ndiyo kinaongoza akili hivyo ukishapata mwengine huyu wa mwanzo mapenzi yanapungua hapo tu ndiyo mmeshindwa .
Kingine hamjui kudanganya
 
Tunaenda na wakati.
Mwanaume akichepuka sio mbaya saaana,kwa sababu si tunachepuka na familia zetu tunazikumbuka..
Nyie sasa,mshedede ukiwakolea huko mnawehuka hadi familia yako unaiona haifai,huikumbuki hata na dharau juu..
 
Naona umeongea kinyume mkuu, sie huwa hatusahau familia kabisaaaa, nyie ndio huwa mnasahau.
Mwanaume akichepuka sio mbaya saaana,kwa sababu si tunachepuka na familia zetu tunazikumbuka..
Nyie sasa,mshedede ukiwakolea huko mnawehuka hadi familia yako unaiona haifai,huikumbuki hata na dharau juu..
 
"Usichokijua kamwe hakitakutesa" hiyo kauli ina maana kubwa sana ni hivi kama mngeweza kufanya kwa usiri msijulikane na mka balance mapenzi kwa usawa na wote wawili wasijuane basi nakuhakikishia mapenzi yenu yangedumu ila,kitu hisia kwenu ndiyo kinaongoza akili hivyo ukishapata mwengine huyu wa mwanzo mapenzi yanapungua hapo tu ndiyo mmeshindwa .
Kingine hamjui kudanganya
Nani anaongozwa na hisia? Labda hao mi naongozwa na akili
 
tatizo mnaokota wanawake uwanja wa fisi, mnaweka ndani mkizani watatulia, hivi mwanamke wa maana kweli unampeleka hawara kwenye chumba kimoja na sebule ulichopanga na jamaa yako? ni uchafu wa aina gani huo? yani upo kwenye shida bado unaongeza tena shida, manake mpaka unampeleka hawara unapoishi na jamaa mwingine tena unataka kulala nae mpaka asubuhi means huyo hawara hana chochote cha kukupa ndo wale akimaliza anakuomba na nauli, tena huyo nahisi alikuwa dereva wa bodaboda, khaaaaa
 
Back
Top Bottom