Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Tupe simulizi witness [emoji4]
 
rafiki mbona sa umenitaja toa jina langu pole yatosha
 
Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Hujaulizwa
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…