Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Ilikuwaje wit hebu tupe somo,naweza kujifunza kitu kutoka kwako
 

mie ningemchukua.. huyo jama alafu ningemwambia avae helmet yake vizuri.. alaf ningejifungia nae ndani.. nachukua BAKORA au natumia ngumi tu.. napiga kote.. kichwani simpigi maana nitamuua
 
Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Pole na yaliyo kukuta huko nyuma.(before now)
 
Haahaa!! Hizi ni kauli za wanaume wajinga na wanaopenda kufikiri mambo mepesi mepesi. Mwanamke hawezi kumzidi mwanaume halisi akili. labda hao wajinga wajinga na wanaopenda mambo mepesi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…