Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Na haitakaa itokee wakatuzidi akili ..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Jamaa na mpenzi wake wa kudumu wanaotarajia kuingia ulimwengu wa ndoa few years to come currently wamepanga room na sebule
Huu upuuzi ndio unaowagharimu vijana wengi. Waoane kwanza ndio waishi pamoja, jambo linatokea mtu anaishia kulalamika tu maana hana mamlaka yoyote juu ye mwenzie.
 
Dhaifu kwa mnayoyasikia. ..yan MTU akiwajaza kidogo mnajaa ndo maana mwenzenu kachepuka na bodaboda afu alivyo mpuuz zaidi kaenda naye nyumban kwa jamaa ake
Una uhakika gani Mkuu?

Sasa hapo huyo mwanaume si ndio Ndezi nini kikimshawishi kuondoka nyumbani wakati hata mgeni mwenyewe hajamuona.

Hakuna aliyejazwa hapa.
 
Una uhakika gani Mkuu?

Sasa hapo huyo mwanaume si ndio Ndezi nini kikimshawishi kuondoka nyumbani wakati hata mgeni mwenyewe hajamuona.

Hakuna aliyejazwa hapa.

Jamaa sio ndezi katumia ustarabu tuu coz bado anaishi kisela tuu na demu wake sio kwamba wanaishi nyumbani ..ndo maana unaona kabisa akaondoka awaachie gheto .. Then unapaswa ujue kuna watu n wastarabu na wanajua kuheshimu watu ...huyu bwana derick anaonekana ni mstarabu sana ..ila we unamuona ndezi
 
Jamaa sio ndezi katumia ustarabu tuu coz bado anaishi kisela tuu na demu wake sio kwamba wanaishi nyumbani ..ndo maana unaona kabisa akaondoka awaachie gheto .. Then unapaswa ujue kuna watu n wastarabu na wanajua kuheshimu watu ...huyu bwana derick anaonekana ni mstarabu sana ..ila we unamuona ndezi
Mmh. Ustaarabu gani huo Mkuu?

Hahahaaa. Hivyo ungekuwa we pia ungempisha mgeni usiyemjua anafananaje. Duuh. Pole sana aiseee

Niseme tu sio ustaarabu huo.
 
Mmh. Ustaarabu gani huo Mkuu?

Hahahaaa. Hivyo ungekuwa we pia ungempisha mgeni usiyemjua anafananaje. Duuh. Pole sana aiseee

Niseme tu sio ustaarabu huo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we hujasoma vizuri huu mkasa .au ...huoni jamaa alikua anapiga simu Mara kwa Mara kujua km mgeni kafika ila ndo response ya demu wake ikawa ndogo ....ila pengine alitaka kujua km amefika ili Akamsalimie. ..ila baada ya kuona mambo km hayaheleweki kwavile jamaa ana utimamu wa akili ndo akaenda kulifuatilia hili swala ..so jamaa hajakosea kokote ..ila anaonekana ana utu afu pia n mstarabu sana sema kwavile we unamtetea mwenzako lazima uzidi kumlaumu jamaa. ..
 
Kama mwanaume, ukitaka mapenzi, washa tv angalia tamthilia.

Siku zote tengeneza mikakati ya hatua za kuchukua katika scenario tofauti tofauti.

Kuwa na protocol kama za defense forces. Kwa sababu mara nyingi tatizo huwa sio fumamizi, bali kinachofuata baada ya hapo.

Kuwa prepared, na kumbuka kuwa, kama kwa binadam wengine, utaheshimiwa na mkeo pale tu atakapokuogopa.
Sio woga wa kumpiga, bali aelewe kuwa pamoja na kumjali kote, she is still expendable. And you can pull everything anytime.

Let her know you as her man, as her husband.
Lakini embrace your mistery.
Let her be scared and wonder what you are capable of.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we hujasoma vizuri huu mkasa .au ...huoni jamaa alikua anapiga simu Mara kwa Mara kujua km mgeni kafika ila ndo response ya demu wake ikawa ndogo ....ila pengine alitaka kujua km amefika ili Akamsalimie. ..ila baada ya kuona mambo km hayaheleweki kwavile jamaa ana utimamu wa akili ndo akaenda kulifuatilia hili swala ..so jamaa hajakosea kokote ..ila anaonekana ana utu afu pia n mstarabu sana sema kwavile we unamtetea mwenzako lazima uzidi kumlaumu jamaa. ..
Mmh. Hivyo salamu za simu unazibariki kuliko za kuonana eee? Huoni hizo salamu za simuni ndio mwanzo wa kudanganywa au hulijui hilo? Maana waeza tafutiwa hata muudumu wa Bar kisha akakwambia ndio yule mgeni. 😂😂😂😂😂 jiongeze broo.

Niko ka wewe tu unavyomtetea jamaa wakati kikawaida tu anaonekana ameyumba na hajui kulilinda jimbo lake kwa kukaba mpaka penalt eti kisa tu nimstarabu. Teh teh teh.
 
Mmh. Hivyo salamu za simu unazibariki kuliko za kuonana eee? Huoni hizo salamu za simuni ndio mwanzo wa kudanganywa au hulijui hilo? Maana waeza tafutiwa hata muudumu wa Bar kisha akakwambia ndio yule mgeni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jiongeze broo.

Niko ka wewe tu unavyomtetea jamaa wakati kikawaida tu anaonekana ameyumba na hajui kulilinda jimbo lake kwa kukaba mpaka penalt eti kisa tu nimstarabu. Teh teh teh.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bwana ila .tukirudi kwenye uhalisia hapo msaliti ni nani. .achilia mbali kwamba jamaa ni boya ..nani hapo anazingua kwenye hayo mahusiano??
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bwana ila .tukirudi kwenye uhalisia hapo msaliti ni nani. .achilia mbali kwamba jamaa ni boya ..nani hapo anazingua kwenye hayo mahusiano??
Hahahaaa. Ni mwanamke ila chanzo cha usaliti kukamilika ni huyo mwanaume wake. Maana angekaba wala asingesalitiwa.
 
Inauma sana, hapo hakuna mke bali mke ngono.

Uamuzi ni wake aamue mwenyewe kuendelea naye au kumuacha.
 
Kuchagua kuoa ni kuchagua kuishi na adui ndani ya nyumba.
Mwanamke anaweza igiza anakupenda Sana kumbe ana Mambo yake anayoenda kuyafanya akiwa mbali na wewe
 
Kuchagua kuoa ni kuchagua kuishi na adui ndani ya nyumba.
Mwanamke anaweza igiza anakupenda Sana kumbe ana Mambo yake anayoenda kuyafanya akiwa mbali na wewe
Hao wameoana?
 
Back
Top Bottom