Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Mm ningepiga simu kwa huyo dada ake. Machale yangenicheza tu lazima.
 
Haijawahi tokea mwanamke akawa na akilakili kuliko dume wacha wapuuzi wajifariji tu. Ukiona mwanaume katulia tu wakati anafanyiw ushenzi ujue kaamua kupuuzia tu. Hawa ni wengi!
Au yupo katika deep investigation ila tu huw hawasemi. Siku akikamilisha report anamwaga mboga ugali mpaka na jiko anazima.
 
Hakuna uchawi mkubwa kama mapaja...


Kiongoz wa wanawake ni kipofu...
 
Hana namba ya dada. Hao ni wazinzi tu ambao hawajahalalisha mahusiano yao. Lililompata si la kumsikitikia
Namsikitikia maana huenda kuwa alikuwa na plan ya kuoa, maybe ali mliona kwamba huyu ni wife wake wa future ndio maana akamuamini.
Naona nivizuri amejua mapema, kuliko hili tukio lingetokea wkt amesha oa
 
Hao wameoana?
Kuoana Tena!
Watu wanaletewa mimba ya michepuko ndani ya ndoa unafanya mchezo?

Ni Mara Mia mwanaume anayechepuka uchafu wake anauacha huko huko kuliko mwanamke kuchepuka.
Uchafu wake anakuja nao ndani ya ndoa.

Mimi huwa nawashangaa hata wanaume wanaoenda chumvini kisa kuwaridhisha wanawake.
Yaani unakunywa mchuzi waliouacha wenzio unajiona bonge la mwanaume.
Unamridhisha mwanamke!!
Ambaye hata Mungu anajiuliza, how did I created this creature?
 
Waletewe tu mimba za michepuko watajua wenyewe. Mbona watoto wa nje mnawaletea? What goes around comes around, wadada now wamechafukwa mtalia sana..zoea tu mkuu.
 
Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…