Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Duh hiyo ilikuwa inafanywa na aliyekuwa mke wangu yaani nikienda kazini yeye anawasiliana na mchepuko anakuja nyumbani wanafanya yao anaondoka. Sasa tulikuwa tunaingilia parking ya gari ambayo ilikuwa bado haijasakafiwa na kuona chata za viatu vikubwa na mle ndani hakuna mtoto mwenye chata ya viatu vile. Nikamwuliza hapa nyumbani leo alikuwa mgeni akasema hapana hakuja mtu yeyote na mimi sijaondoka leo. Nikanyamaza...nikawa natafuta kumkamata nikafanikiwa...usipuuze hata dalili ndogo zinazooneka ...kama hupendi tabia ya michepuko ila kama unapenda usijaribu kutaka kujua maana utaachana na mkeo wenu kipenzi..
 
Dah kwahio unaona source ya tatizo ni jamaa ama? Huoni kwamba mwanamke ndio mshenzi hapo kwa kufanya udanganyifu?
 
YaNi inashangaza sana ujasiri wa kuingiza mwanaume ndani ya nyumba ameutoa wapi? Huwa hawawazi madhara ya mbeleni itakuwaje kabisa! Wanaendeshwa na msukumo wa nyege always
 
Hamna sio ben 10 mzae, jamaa ni mtu wa mishe mishe huwa tuna hustle pamoja sometimes. Ishu ni kwamba jamaa ni mtu smart na muelewa sana huwa hawazagi mambo madogo madogo. Sema manzi yake ndio ametembelea hio weakness ya mchizi na kufanya vitu vya ajabu maana siku zingine ndugu zake huja freshi tu na wanafahamiana vizuri. Upuuzi ni wa mwanamke kuvunja uaminifu na signal zilionekana baada ya ku behave tofauti na siku zingine.
 
Udanganyifu sawa ila aiyepaswa kujua huo ni udanganyifu ni Me kwa kutaka kujua ukweli wa mambo na sio kukubali hovyo hovyo kila anachoambiwa.
Dah sikujua kuwa una moyo mgumu hivyo, hivi mumeo si unamuamini? Je, ikitokea siku akaamua kutumia uaminifu wako kama weakness ya kukudanganya utakaa ujue? Mfano umezoea anakuwaga bar flani akitoka job kisha siku hiyo awe guest anagonga! Will you ever notice that???
 
We endelea kuhisi ya kutunga wakati ni ishu current nimeshuhudia. Anyways dont trust a woman 100%
 
Mmh. Hivyo kwa hali hiyo unataka kusema huyo uliyemuandika hapouaminifu ndio ulimfanya aache chumba. eti eeee?
 
Uwongoo mtupu
 
Kiongozi naimani hata mitihani ya shule haikuwahi kukusumbua. Umeelewa kwa haraka mno kitu ambacho wengi hawajakielewa na wamekimbilia kufanya judgement tu. Kuna watu ni wastaarabu na waelewa sana kwa asili na kuna watu sio wastaarabu kabisa. Jamaa kufanya alilofanya ilikuwa ni stara tu na kutaka mwanamke wake awe na amani tu na ndugu yake watie story kwa uhuru wafurahi.
 
Mmh. Ustaarabu gani huo Mkuu?

Hahahaaa. Hivyo ungekuwa we pia ungempisha mgeni usiyemjua anafananaje. Duuh. Pole sana aiseee

Niseme tu sio ustaarabu huo.
Kwani ww mdogo wako humfahamu? Chukulia mfano itokee mdogo wako anakujaga home kwako kushinda weekends kisha anarudi zake chuo jioni ikatokea siku haupo na amekuja kisha akalala na mumeo we ukijua amerudishwa chuo, utakuwa judged kama mjinga kwa kuwa hukuja kuhakikisha kuwa amerudi chuo?
 
Hivi hio biashara ya kumlinda mwanamke ni lini ilishawahi kufanikisha mtu kuepukana na usaliti. Kuna mambo mengi ya kufanya, ukiamua kuwa mshenzi then utabakia kuwa hivyo for gud. Huna haja ya kulindwa!
 
Huyo mwanamke ni mwehu kbsa
 
Kwa nini ukifumaniwa dushe hata kama limesimama linasinyaa less than 5 second..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…