Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Nimetumia Kingoswe nieleweke zaidi, najua wengi mtapinga hasa wanaume lakini ndo ukweli, nakupa simple mfano au maelezo tu kidogo, sisi wanaume hasa tunaojifanya eti smarter than wanawake, utaanza kutafuta wa pembeni sawa utapata but in a very high cost (mfano Bakhresa) kimwana, mnakula maraha wee duara likichoka mchimbaji anakula kona unarudi nyumbani unasamehewa hata huna kitu,potelea mbali mwanamke asijalishe umemletea magonjwa gani, Lakini wewe sasa unafuma ki sms tu unawaka weeee na talaka unataka kumpa...
Nilitaka kusema hivi anayesamehe ndo smart au anayesamehewa?
Dah hilo swali nimejiuliza sipati jibu lililonyooka!Nadhani integemea na matokeo ya huo msamaha ...anaesamehe siku. akiambulia ngoma au presha basi yeye ndo atakeONEKANA mjinga!Muombaji nae akiambulia bila kumwambukiza mama basi yeye ndo mjinga kwa kumissuse msamaha aliopewa na mwisho wa siku akaambulia ugonjwa!
dah! Sijaona ndani kabisa.
</p>Nimetumia Kingoswe nieleweke zaidi, najua wengi mtapinga hasa wanaume lakini ndo ukweli, nakupa simple mfano au maelezo tu kidogo, sisi wanaume hasa tunaojifanya eti smarter than wanawake, utaanza kutafuta wa pembeni sawa utapata but in a very high cost (mfano Bakhresa) kimwana, mnakula maraha wee duara likichoka mchimbaji anakula kona unarudi nyumbani unasamehewa hata huna kitu,potelea mbali mwanamke asijalishe umemletea magonjwa gani, Lakini wewe sasa unafuma ki sms tu unawaka weeee na talaka unataka kumpa...</p>
<p> </p>
<p>Nilitaka kusema hivi anayesamehe ndo smart au anayesamehewa?
Kwani kuna giza??
Aahahahahahaha umenikumbusha mbali sana....dena Amsi.Nyambali...nya......na summary zake.Hapa unahitaji uwe umesoma summary za Nyambari Nyangwine (sijui jina nimepatia samahani km nimekosea jina) zote ndo uelewe
kwa kweli kiswahili chako katika mada yako sijaambulia kitu
Nimetumia Kingoswe nieleweke zaidi, najua wengi mtapinga hasa wanaume lakini ndo ukweli, nakupa simple mfano au maelezo tu kidogo, sisi wanaume hasa tunaojifanya eti smarter than wanawake, utaanza kutafuta wa pembeni sawa utapata but in a very high cost (mfano Bakhresa) kimwana, mnakula maraha wee duara likichoka mchimbaji anakula kona unarudi nyumbani unasamehewa hata huna kitu,potelea mbali mwanamke asijalishe umemletea magonjwa gani, Lakini wewe sasa unafuma ki sms tu unawaka weeee na talaka unataka kumpa...
Nilitaka kusema hivi anayesamehe ndo smart au anayesamehewa?
Kumbe ndo unavyofanyaga!!! lol
dah! Sijaona ndani kabisa.
kwa kweli kiswahili chako katika mada yako sijaambulia kitu
Hapa unahitaji uwe umesoma summary za Nyambari Nyangwine (sijui jina nimepatia samahani km nimekosea jina) zote ndo uelewe
hapa formula ya the gambler inahusika!u got to know when to hold on, know when to walk away and when to RUN....sasa kama mwanaume wako yuko vulnerable na 'kuanguka',basi kuna siku mtavunjika mguu pamoja (kwenye magonjwa). kwa hiyo mjinga ni mwenye kushinedwa kusoma alama za nyakati mapema. japo kuna baadhi wana bahati mbaya,one mistake one goal!kuna wanaume wake zao wanazaa nje ya ndoa na wanawasamehe na maisha yanaendelea tu bila kokoro.
<p></p>
<p> </p>