Mwanamke smarter than mwanaume...

Mwanamke smarter than mwanaume...

haya umeshinda kama huna, unasema u kusamehe na kuacha, kama huna na hujawahi kupenda so I can conclude even you don know what love is dear....
Mambo ya sijawahi kupenda yametoka wapi tena???Au sina na sijawahi kua nae vina maana sawa??
 
Mambo ya sijawahi kupenda yametoka wapi tena???Au sina na sijawahi kua nae vina maana sawa??

Nilikuuliza mwanzoni kama una bf au umewahi kupenda he answer was sina...au nimesoma vibaya? Nina miwani hapa lenzi mbinuko inaona mpaka pale Unga limied usicheze nayo....
 
Magulumangu roho ya usaliti ikishakuingia huwezi kuacha tena hata km ungesamehewa mara ngapi,sana sana wanawake wanaoonea aibu wanaume wa aina hii misiba ya nafsi haiwaishi na lastly mauti haiko mbali kwa kua mleta magonjwa unam-entertain...Km Lizy alivyoainisha,ni kumsamehe na kumwambia ukweli bwanaeee nilivutiwa nawe wakati ukiwa domesticated cat sasa umekua paka pori hunifai tena...basi
 
Magulumangu roho ya usaliti ikishakuingia huwezi kuacha tena hata km ungesamehewa mara ngapi,sana sana wanawake wanaoonea aibu wanaume wa aina hii misiba ya nafsi haiwaishi na lastly mauti haiko mbali kwa kua mleta magonjwa unam-entertain...Km Lizy alivyoainisha,ni kumsamehe na kumwambia ukweli bwanaeee nilivutiwa nawe wakati ukiwa domesticated cat sasa umekua paka pori hunifai tena...basi
Hahaha bro umenifurahisha sana hapo mwisho....tena ntafanya kucopy na kupaste ulichosema!!
 
Sisi wanaume dada angu sijui tuko vipi, hatupendi mwanaume mwenzetu akitukosoa eti, sasa jamani mbona kiswahili kinaeleweka? sorry sikutaka kumaanisha vile...


Usikate tamaa rafiki endelea tu kuwakumbusha kumbusha....
 
Magulumangu roho ya usaliti ikishakuingia huwezi kuacha tena hata km ungesamehewa mara ngapi,sana sana wanawake wanaoonea aibu wanaume wa aina hii misiba ya nafsi haiwaishi na lastly mauti haiko mbali kwa kua mleta magonjwa unam-entertain...Km Lizy alivyoainisha,ni kumsamehe na kumwambia ukweli bwanaeee nilivutiwa nawe wakati ukiwa domesticated cat sasa umekua paka pori hunifai tena...basi


Mkuu wewe noma, naona Lizzy umemfurahisha sana, heko heko mzee....
 
Ielezee tuilewe na sisi

Imagine watuhumiwa wa ujambazi ambao ushahidi haujakamilika wanawekwa kila mmoja chumba peke yake kisha kila mmoja anaambiwa akitoa ushahidi dhidi ya mwenzake atafutiwa mashitaka.

Dilemma ni kwamba ama kila mmoja atamtosa mwenzake hivyo wote mnafungwa au kila mmoja atakuwa mwaminifu pia wote mnafungwa.

Point yangu Hapa ni kwamba mke na mume waache ukora, who is smater or not smater yote ni maumivu
 
Wanajua, hawataki kuji commit....

Mpaka maui yaukue ndo ucommit, tuwashaurini jamani, lkn na nyie dada zeu mfano hapa kwetu Bongo sasa hawa wanajiita ma selebiriiez jamani, mijanaume si inawafuatilia kama nini na wanafurahi u nani alaumiwe hapa?
 
Mpaka maui yaukue ndo ucommit, tuwashaurini jamani, lkn na nyie dada zeu mfano hapa kwetu Bongo sasa hawa wanajiita ma selebiriiez jamani, mijanaume si inawafuatilia kama nini na wanafurahi u nani alaumiwe hapa?


Haitakiwi kujipima kutumia wao kama kioo, yale maisha ni temporary - mastaa wangapi wanakuja na kupotea.. at the end of the day umaarufu ukiisha habari imekwisha...
 
Vioo vya jamii wenyewe wanajiia wasanii Bongo ndo chanzo cha haya yoe ndugu yangu....


Naona tusiwazingizie sana katika hili, hio statement katika uzi wako ni kitu cha toka zamani, wasanii bongo saizi ndo wameshamiri kuliko ulivyowahi tokea... Kama sikosei...
 
Imagine watuhumiwa wa ujambazi ambao ushahidi haujakamilika wanawekwa kila mmoja chumba peke yake kisha kila mmoja anaambiwa akitoa ushahidi dhidi ya mwenzake atafutiwa mashitaka.

Dilemma ni kwamba ama kila mmoja atamtosa mwenzake hivyo wote mnafungwa au kila mmoja atakuwa mwaminifu pia wote mnafungwa.

Point yangu Hapa ni kwamba mke na mume waache ukora, who is smater or not smater yote ni maumivu
Umeeleweka mkuu
 
Back
Top Bottom