Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Mambo ya sijawahi kupenda yametoka wapi tena???Au sina na sijawahi kua nae vina maana sawa??haya umeshinda kama huna, unasema u kusamehe na kuacha, kama huna na hujawahi kupenda so I can conclude even you don know what love is dear....