God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Source ya utafiti wako mkuu...
Research yako umefanya kwa mda gan??
Lakini sio kwa uflat huo,mkuu kama umeenda kinyume .. naona flat sikirini wengi ndiyo wanaolewa
huhuu mkuuLakini sio kwa uflat huo,
Naam hubebeka na pia hawana Shombo la samaki wabichimkuu kama umeenda kinyume .. naona flat sikirini wengi ndiyo wanaolewa
Nitajitolea mfano. Mimi nikiona chura njiani nitaisifia na kuishia hapo hapo kuna upendo zaidiya chura.Tusiokuwa na chura kazi tunayo kwakweli mana kila kukicha chura chura
Nitajitolea mfano. Mimi nikiona chura njiani nitaisifia na kuishia hapo hapo. kuna upendo zaidi ya chura.Tusiokuwa na chura kazi tunayo kwakweli mana kila kukicha chura chura
wasikutie presha sisi wengine tunapenda flat screenTusiokuwa na chura kazi tunayo kwakweli mana kila kukicha chura chura
kweli mkuuNaam hubebeka na pia hawana Shombo la samaki wabichi
Mkuu usiwatie presha wadogo zetu wasioolewa ili wakayatafute hayo mamizigo! Nitajie watu Mashuhuri Tanzania watano tu waliioa wanawake wenye chura! Hao unaowasifu wanasifiwa uswahilini huko kwa wacheza vigodoro ambako maadili ni zero na kwa kulitambua hilo wanawake hawa wameletewa hadi dawa za kuyaongeza makalio ili waendelee kutumika bila ndoa, waoaji wanasifa zao lakini sifa ya chura haimo labda utaje sifa nyingineMwanaume akipata mwanamke mwenye kipato cha maana na elimu nzuri pia ni mtihani kwa wanaume wengi wa nchi hii.
Utaweza kushangaa mwanamke ana pesa, elimu nzuri na ana uso wa kuvutia ila kama hana makalio ya wastani au makubwa basi hawezi olewa na hata akiolewa lazima mume wake atam cheat tuu.
Ndio tabiz za wanaume wa Tanzania na Africa kwa ujumla.
Siku hizi mwanamke kama hana msambwanda wa kutosha huyo lazima atasalitiwa tuu.
Mwanamke aliejaaliwa.
View attachment 401279
Mwanamke flat/pasi
View attachment 401281