Mwanamke tajiri asiye na kitonga ni mtihani kwa wanaume

Mwanamke tajiri asiye na kitonga ni mtihani kwa wanaume

Sijui faida ya chura kwa mwanamke zaidi ya maonyesho njiani labda wafuasi washetani ndy watatumia
 
Mke wa Joshua nasari ,mke wa zito,mama salma kikwete mbona wameolewa

mkuu
unaonaje hizo reception zao..
kama mama salma kasura katamu kweli kweli..
mwingine anaweza akapenda tu hata lips basi.. hahaaa
kupenda kitu cha ajab sana
 
Mkuu usiwatie presha wadogo zetu wasioolewa ili wakayatafute hayo mamizigo! Nitajie watu Mashuhuri Tanzania watano tu waliioa wanawake wenye chura! Hao unaowasifu wanasifiwa uswahilini huko kwa wacheza vigodoro ambako maadili ni zero na kwa kulitambua hilo wanawake hawa wameletewa hadi dawa za kuyaongeza makalio ili waendelee kutumika bila ndoa, waoaji wanasifa zao lakini sifa ya chura haimo labda utaje sifa nyingine
Mbona presha mkuu?
 
mkuu kama umeenda kinyume .. naona flat sikirini wengi ndiyo wanaolewa
Kaongelea mtazamo wake ..
Kwasababu wengine sisi waliofungasha sio kigezo wala kipao mbele kwan hayo haya lolote kwenye 6-6
 
mkuu kama umeenda kinyume .. naona flat sikirini wengi ndiyo wanaolewa
eti iyo misambwanda ni mizuri kwa kuigegeda tu, ila kuoa ni flat tu...!!!
ndo maana wengi wanaishia kuwa michepuko
 
eti iyo misambwanda ni mizuri kwa kuigegeda tu, ila kuoa ni flat tu...!!!
ndo maana wengi wanaishia kuwa michepuko
Pia wanaona kwa sababu flat haina soko kwa hiyo mtu anakua na amani na chombo chake sio kama chura ambao hawaishwi kutazamwa hata na vitoto ambavyo havija balehe.
 
Mzigo wa nini mimi, mapenzi kwangu si dada kuwa na mzigo, mapenzi kwangu ni:

***Wote kuwa na hofu ya Mungu
*** kuheshimiana,
*** kuwa na mikakati ya kuwaandalia maisha mazuri watoto
*** kuaminiana
*** Ya kitandani, mkitimizana yote niliyoyataja juu hapo, basi hata kitandani mtaridhishana.


Hayo ya sijui mizigo, sijui kitonga ni mbwembwe tu na urembo wa mapenzi feki.


(Mwenye mtazamo kama wangu nipe like kuonyesha tupo pamoja)
 
Pia wanaona kwa sababu flat haina soko kwa hiyo mtu anakua na amani na chombo chake sio kama chura ambao hawaishwi kutazamwa hata na vitoto ambavyo havija balehe.
mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu hadi dereva wa mwendokasi amesimamisha gari ghafla, imekua taflani kidogo hapa.
 
Back
Top Bottom