Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 684
Loh! Kuna hii TV inaitwa Sibuka. Wanaongelea mapenzi na Amani Misana (nilikuwa namsikiliza sana wakati nikiwa
secondary Times FM) Wanasema mambo yatakayomsaidi mwanamke afike kileleni. . .
Kwamba
1. Mwanamke akifika kileleni kuna hormones zinazotoka ambazo zinaleta 'satisfaction' hivyo hatatoka nje
2. Mwanamke ile afike kileleni asianze yeye. Hata Mr akimwanza akatae katae, asikubali haraka. Basi tendo la ndoa
litakuwa safi na atafika kileleni
3. Mwanamke asimwelekeze mwanaume bali asubiri mwanaume amwelekeze. Hapo watafika
4. Halafu mwanamke akilalamika anaongeza uwezekano wa kufika kileleni
5.Wanawake wengi wanapenda sexual outercourse than intercourse
secondary Times FM) Wanasema mambo yatakayomsaidi mwanamke afike kileleni. . .
Kwamba
1. Mwanamke akifika kileleni kuna hormones zinazotoka ambazo zinaleta 'satisfaction' hivyo hatatoka nje
2. Mwanamke ile afike kileleni asianze yeye. Hata Mr akimwanza akatae katae, asikubali haraka. Basi tendo la ndoa
litakuwa safi na atafika kileleni
3. Mwanamke asimwelekeze mwanaume bali asubiri mwanaume amwelekeze. Hapo watafika
4. Halafu mwanamke akilalamika anaongeza uwezekano wa kufika kileleni
5.Wanawake wengi wanapenda sexual outercourse than intercourse