Mwanamke uliyevaa suruali leo

Mwanamke uliyevaa suruali leo

Mimi ni mmoja wa wanaopinga ishu ya wanawake kuvaa vijisuruali kama hivyo... Wananiita mkoloni! siendi na wakati...
achana nao mkuu,mimi ni mkoloni zaidi yako napenda kuitwa mkoloni
 
kwa dunia ya sasa hawa ndio warembo tunaowahitaji na tunawaweka ndani sasa

CONTROLA jitafakari upya, suruali haipunguzi mtu kuwa wife material
Yeah nakubaliana na wewe na suruali nisizo zitaka ni mfano wa niliyoiweka kwenye thread hapo juu,ila kuvaa suruali sio kosa japo kuna suruali za kuvaa na heshima ya mwanamke itayomfanya heshima yake ibaki pale pale.

Mke wangu suruali atavaa vizuri ila huwezi mkuta kavaa suruali ambayo akpita mbele yako unaona tako lake linavyokata ile 50 50 mia 50 50 mia ile ya namna ile kamwe siruhusu mke wangu avae.

Atavaa suruali itayoweza ku cover her back akitembea yes kapendeza na akikupita hata ugeuke huna utachoona zaidi ya harufu yake nzuri atakayokuachia.

Mfano kama hapa chini ni baadhi ya wanawake waliovaa suruali ambao sina shda nao na napenda na kwa upande wangu wamependeza sana sana

0066380_darchora-coat-powder-blue.jpeg




Angalia walivyopendeza Ni suruali hizo wamevaaa kumbuka then look at them


1114965604.g_400-w-st_g.jpg




Angalia na huyu wa mwisho she looks like 👌

suruali.jpg
 
Back
Top Bottom