Mwanamke: Umemuandalia nini mumeo/familia yako sikukuu hii ya Eid?


Karibuni wageni, japo chakula chenyewe kidogo.......................................
 

Mweh, kwani lazima mkaribishwe..................!
 
Napita tu naona hainihusu.Hlafu Mtambuzi unasema uone kama hujapunjwa in mana mshakula sa nne hii
 
Napita tu naona hainihusu.Hlafu Mtambuzi unasema uone kama hujapunjwa in mana mshakula sa nne hii
Nimechungulia maandalizi ya jikoni mjukuu wangu........... huu uzee nao huu
Ndio maana naambiwa nazeeka vibaya
 
Nimechungulia maandalizi ya jikoni mjukuu wangu........... huu uzee nao huu
Ndio maana naamiwa nazeeka vibaya

Tabia mbaya ungesubiri kije mezani ndo uone au hukutoa pesa ya matumizi ya kutosha so umepata wasiwasi au mamangina huwa anapiga panga bajet?
 
Tabia mbaya ungesubiri kije mezani ndo uone au hukutoa pesa ya matumizi ya kutosha so umepata wasiwasi au mamangina huwa anapiga panga bajet?
Nilishikwamna udadisi tu..................... Si unajua leo ni sikukuu.............
 

Mzee mwenzangu Bishanga na my wife wake pia na yeye kanitumia mualiko......................................
 

Nyama choma muhimu...............................
 

ODM Mzee Asprin unatisha................ Nakuona hapo unavyomsaidia my wife wako kuandaa msosi...........................................
 

nyumba kubwa na familia yake nao hawapo nyuma katika kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri...................LOL
 
Nimechungulia maandalizi ya jikoni mjukuu wangu........... huu uzee nao huu
Ndio maana naambiwa nazeeka vibaya

Babu umeniangushaaaaaaaaaaaaaa!mwanaume wa kiafrika hachungulii jikoni babu!anasubiri aletewe mkekani!we ungesubiri bibi alete kikiwa kimefunikwa na kawa babu!hapo umemkosea mama ngina!mtake radhi kwa kanga doti moja yenye maneno haya'mimi na wewe milele"af wala husemi ni kwa ajili ya nini!kwa kuwa bibi atakuwa ni mwanamke wa kiafrika atajua tu unamuomba msamaha.ahahahaahhahhahhaha
EID NJEMA babu DC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…