Mwanamke unampomkataa mtu tumia lugha nzuri

Cha msingi mkubalie upige nyapu hiyo... Then ndo utajua mwelekeo mwingine.. Kwan we nyama huitaki? Huwez jua magumu mangap kapitia mpaka kagundua kuwa ww ndo mumewe... Piga nyama hiyo acha kumbwaya
 
Reactions: MC7
Mwite aje na rafiki zake daraja la kigambonino mpige selfie zenu za kifesibuku then arudi kwao akakitulize maana si ushamwambia haiwezekani bhana...!!!
 
Msamehe...ila usishiriki naye tendo la ngono
 
Duh wewe kweli ulikata tamaa mapema mwezio nilimtokea mtoto wa kigogo flani serikalini nilimtongoza mwaka mzima. Wiki ya mwisho alikuwa anakuja na boyfriend wake namfata na washkaji zangu kama 6 bf wake hukaa upande mwenyewe mwisho demu aliniambia mbona unanivunjia heshima na unajua yule ndio bf wangu. Tuwe marafiki lakini mimi ninampenda yule bf wangu hapo ndio ilikuwa mwisho wa kumtokea.
 
Wewe hukufanya michezo ya kitoto,,, jiulize wote walikuwa na umri gan sio kukurupukaaaa
 
Cha msingu mkubalie upige nyapi hio... Thn ndo utajua mwelekeo mwingine.. Kwan we nyama huitaki? Huwez jua magumu mangap kapitia mpaka kagundua kua ww ndo mumewe... Piga nyama hiyo acha kumbwaya
hahaa mkuu hii scraper katumia miaka 10 kujua namfaa
 
wew ulijibiwa kistaarabu kabisa.
 
Katika maneno ambayo siyapendi kuambiwa na mtoto wa kike ni hilo la KUJISHUA.....
 
Kwa wakati huo binti alikuwa sahihi kwa kutotaka kuchanganya mapenzi na masomo...( kama kweli hakuwa ameuanza mchezo huo)
 
Mwanamke wangu wa sasa nimempata akiwa na miaka 17 net....huku mm nikiwa mwaka wa tatu chuo (23 yrs old)....namaliza 4th naanza kuishi nae...soon. So inawezekana madam.
 
ushaiiona movie yankee zuru jamaa aliwekewa kikopo na rafiki yake kichwani zen wakaanza kukilenga shabaha na bunduki jamaa aliondoka amejikojolea walikutana wamshakuwa wakubwa jamaa akajakumrudishia nae akaweka kikopo koo nawew mkuu mrudishie nenda kwenye bar yenye watu mjibu alivyokujibu ili heshima irudi
 
Reactions: MC7
Shalet, piga chini,endelea na maisha yako. Wanawake wako wengi,kwanini upoteze muda wako kwa mtu aliejikatia tamaa? Usije ukakosea na kuvaa kitanzi cha kumpatia mimba, hiyo itakuingiza kwenye matatizo makubwa sana.
 
Acha roho mbaya wewe bwana mdogo....hebu mstiri kijana mwenzako......
Wakijiuza mnawasimanga....wakija kwenu muwasetiri mnawakataa.....!??!
Which is which..........
 
nimegundua kuwa mdada anstahili mafundisho ya kisaikolojia jinsi ya kudeal na wanaume...pia ajiongeze maana inapofika 27 above ni desperate kuolewa..so watu aliokuwa nao nyuma inatakiwa hata akiachana nao iwe kwa maamuzi magumu ya uvumilivu na busara akimkataa mtu iwe kwa lkugha nzuri mpaka kidume kifurahi na ku respect ...maana wengine huwa wanajibu ovyo duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…