SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 807
Harufu ya ukweli imenukia bhana! Hakuna aijuae kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh wewe kweli ulikata tamaa mapema mwezio nilimtokea mtoto wa kigogo flani serikalini nilimtongoza mwaka mzima. Wiki ya mwisho alikuwa anakuja na boyfriend wake namfata na washkaji zangu kama 6 bf wake hukaa upande mwenyewe mwisho demu aliniambia mbona unanivunjia heshima na unajua yule ndio bf wangu. Tuwe marafiki lakini mimi ninampenda yule bf wangu hapo ndio ilikuwa mwisho wa kumtokea.Habarini wakuu,
Miaka kama 10 hivi iliyopita tulikuwa tunacheza mechi ya kuagana wanaohitimu na wanaobaki, basi kuna demu nilikua nampenda na siku hiyo ilikuwa nii lazima nijitahidi kuonana nae manake tulikuwa tunakaribia kuanza necta, nilimuona upande aliokuwa amekaa na wenzake nikaomba kampani kwa washikaji wanisindikize. kufika pale tulipiga piga stori jamaa wakawa wananiacha nibaki naye, naye akawa anaondoka ikabidi nimuite lol jibu alilonipa ni baya kuliko majibu ya vibuti vyote nilivyowahi pata. alisema hivi UNATAKA NILAMBE MOTO UJUE NIMEKUKATAA. nilikuwa nishamtongoza kabla ila akawa ananizungusha, jamaa walimbembeleza tuongee akagoma.
Baada ya miaka 10.
Tarh 16 nimekuta request fb ya huyu mwanamke na meseji juu nimechati naye mambo mengi mpaka ya kipindi kile manake ndio ilikuwa mwisho kuonana naye anadai nilikata tamaa mwenyewe mapema hata yeye alikuwa ananipenda anaomba tuwe pamoja wakuu nimemwambia kuwa hilo haliwezekani nikikumbuka nilivoaibika siku ile huyu mwanmke anadai nimpe tu ujauzito kama nikiamua kumuoa sawa nikimtelekeza sawa yeye atalea anaonyesha yuko very desparate na hapo yuko na 27 tu.
Somo kwa dada zetu unapomkataa tumia jibu zuri hakuna anayejua kesho itakuwaje na akiba haiozi.
nyinyi ndiyo mnaoencourage single parents na kuleta majuto kwa watoto baadae.duuh yan analamba matapishi yake ila mi nakushauri mpe mimba tu muache
Wewe hukufanya michezo ya kitoto,,, jiulize wote walikuwa na umri gan sio kukurupukaaaaacha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
hahaa mkuu hii scraper katumia miaka 10 kujua namfaaCha msingu mkubalie upige nyapi hio... Thn ndo utajua mwelekeo mwingine.. Kwan we nyama huitaki? Huwez jua magumu mangap kapitia mpaka kagundua kua ww ndo mumewe... Piga nyama hiyo acha kumbwaya
wew ulijibiwa kistaarabu kabisa.Duh wewe kweli ulikata tamaa mapema mwezio nilimtokea mtoto wa kigogo flani serikalini nilimtongoza mwaka mzima. Wiki ya mwisho alikuwa anakuja na boyfriend wake namfata na washkaji zangu kama 6 bf wake hukaa upande mwenyewe mwisho demu aliniambia mbona unanivunjia heshima na unajua yule ndio bf wangu. Tuwe marafiki lakini mimi ninampenda yule bf wangu hapo ndio ilikuwa mwisho wa kumtokea.
Katika maneno ambayo siyapendi kuambiwa na mtoto wa kike ni hilo la KUJISHUA.....acha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
Mwanamke wangu wa sasa nimempata akiwa na miaka 17 net....huku mm nikiwa mwaka wa tatu chuo (23 yrs old)....namaliza 4th naanza kuishi nae...soon. So inawezekana madam.acha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?