Mwanamke; Unapenda mwanaume mwenye sifa gani?

Hapana Kaka,
Mimi ni miongoni mwa wale watu ambao wanaamini Mungu lakini hawaamini bureaucracy ya kumfikia inayosimamiwa na binadamu wenzetu(I mean Dini). Nasikitika kusema hili lakini mimi si mlokole. I am simply The Analyst.

Kwani wewe pia ni mlokole?
 
Kwenye kuchagua wachumba kuna kazi Ndugu yangu,
Unakutana na dada wa kitaa anakufurahisha kweli sexually na unajihisi huru kuwa naye chumbani lakini mkitoka hutaki watu wajue unamchukua. Je yanawakuta kina dada mambo kama hayo? Yaani kuna madada kila mtu anawataka mtaani lakini kwa orodha ya waliokwisha wapitia, unachotaka ni mambo yake tu. Kumfanya mke ni issue. Utasema nini mbele ya wenzako wakati huwezi hata kujiridhisa mwenyewe kwa sababu za kumuoa? Mtazamo wa jamaa wengi mke na hawara wanatofautiana. Uhusiano na hawara una sura ya sex sana kwa kuwa hakuna mambo serious ya kuwaunganisha zaidi ya vipedo na viwanja kwa wale outgoing. Mke hata kunywa bia mnajadili kama ni sahihi au la! Hata huyo mdada katika mfano wangu ni mlokole jina lakini viwanja anakamata maji kama hana akili.

Siku moja alinikaripia sana ktk mazungumzo baada ya kuchallange kitu kidogo kuhusu ukweli katika vitabu vya imani zetu (Unajua tena; baadhi vimeandikwa miaka mingi kidogo baada ya matuakio halisi) Nilijiuliza maswali mengi sana akilini, how comes hata hawa wenye imani kali hawawezi kutulia na waume zao tena waume waliotulia?

Mungu atuepushe na mitihani hii.

 
Kazi mnayo wanaume!
Usije tu ukadanganyika kumuoa mwanamke aliyetulia ila huna hisia nae kivile ili jamii ikutambue kama mume huku hisia zako unakabidhi kwingine.Wapo wanawake wakika aina...kuna wenye upande mmoja tu MUOLEWAJI au MTUNDU (msiotaka kuweka ndani) na wale ambao wana mchanganyiko wa haya mawili.Kama we unajua sex ni muhimu kwako kama ilivyo akili/tabia na muonekano wa kiMKE zaidi unatafuta mwenye pande zote mbili.Mkiwa wenyewe mfanyayo yanawaridhisha nje mkiwa sebleni ni mke na mume wanaoheshimiana.

Hao watu wanaochakachua dini wanaboa kweli kweli!
 
mnh huyo dada ni muhuni aliolewa bahati mbaya, ni yule mtu hatulii na mmoja........................mie napenda mwanaume awe mkali kidogo sipendi mwanaume nikikosea akae kimya,ila sio wa magumi lol....napenda mtu mwenye uzoefu kitandani i mean he is not shy to try new things lol...nampenda mwanaume rensponsible both as a husband and a father i mean anayejua vyema roles zake......:dance::mimba:
 

mhhhhh

mungu tulindie wake zetu huko nje....
 
Napenda mwanaume aliyekwisha wai kuachika so anajua inavyouma
 
Lizzy umenifurahisha sana, nataka uwe mshauri wangu wa mahusiona.. najua utanifaa sana. good girl.
 
This is very challenging!

Sikatai kuna wanawake wengine ni vipepe, hata wapewe nini, wao watatoka nje (this apply to men also). Lakini wanawake wengi wako displined, na wanapenda kuwa na affair na mtu mmoja wanayempenda!

Hebu jiulize; napomwona mwanamke kwa baba yake hakuna hayo yote unayompa? anafuata nini kwako?



Then, you will come to the conclusion that 'if you keep a dog, you must give what a dog eats"
 

Hahahaaa " hata ukimwambia unapenda sana konokono na yeye hajawahi kula atakwambia na yeye pia" nimeipenda hii, hey ladies tumezidi kuwa desperate kuolewa yaani nowdays its uufff! Nikifungua mlango wango toka kazini na kukuta paka wangu tuu napata faraja sana as kuliko at that t kuwazia huyu mwenzangu sijui yuko guest or bar! Ni kawaida ktk age fulani kutamani sana vazi jeupe with t unajitambua as a woman na hii ni late 20's na early 30's na kufurahia maisha yako akitokea wa ukweli haya asipo its ok pia. There is so much fun ya kudate na akikuzingua rahisi kumfungashia viboxer vyake aende! Lets take a man as a complementary not him to complete u as a woman
 

Me nadhani huyo dada kaja kujitambua tayari ndani ya ndoa, hilo ni tatizo sana, n guyss take this truth wanawake wanaanza kujitambua 'wengi wao' late 20,s and 30's hapo ndo anajijua yy ni nani na anataka nini duniani, below that ni mihemko tu ya mwili na fantansy za kidunia! hapo unakuta mdada she is confortable in her own sexuality. Secondary na Versity nilikuwa napenda wakaka vibanga class,nikaja gundua wengi wanaishia average life tuu na kazi nzuri, baada ya chuo nikawa napenda wakaka wenye hela 'single lkn' nikaja jua especially wa kaka wa bongo wakiwa nazo dharau, after having my own cash nikawa napenda a boy good in bed, nikagundua anawafanya wengi wajisike good kwa bed! was confused! now nadhani man should have just values atakazo pass kwa watoto wake that is all, maana mengine yootee yanatafutwa na kupatikana. Mwenye values ataniheshimu as a woman and we will raise kids with values which is the thing unakuwa proud nacho uzeeni.
 
hivi kumbe mume wa mtu weye?!

kiafrika hata girlfriend ni mke......

Na hapo nimesema wake zetu means
wake za kaka zangu,wake za wajomba zangu na kadhalika....
 
kiafrika hata girlfriend ni mke......

Na hapo nimesema wake zetu means
wake za kaka zangu,wake za wajomba zangu na kadhalika....

Sio kweli...girlfriend sio mke wenyewe hua mnasema‘!!Alafu huwezi kusema “wake zetu“ kama na wewe huna wako kwenye list!

Sema ukweli bwana niache kukufukuzia....!
 
Wanawake most of them wapo kimasilah zaidi, wanapenda pesa!
 
Anijali, anipende, anitunze, aniridhishe, ajue majukumu yake kwa family.... ziada yake awe mweusi mrefu kiasi, mwembamba mnene(katikati hapo) asiwe handsome, anaetabasam mara kwa mara, anaenukia perfumes za ukweli(hii huni turn on sana), msafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…