Mwanamke: Unapomkataa mwanaume umwonaye kwa jicho la kwanza.!

Mkuu Mtambuzi nimekusoma bandiko lako uzuuri kabisa

"pamoja na mambo mengine", hizo "siku 90 kabla ya kula tunda" ni absolute ama relative?

Khaaa...... Mtambuzi siku 90 ni miezi kama mitatu hivi, sasa kigezo gani umetumia mkuu? Ujue hasa muktadha wa swali langu ni kwamba hatuwezi kuwa na mzani sahihi wa kupima tusubiri muda gani. Hata yule anayefanikiwa "kupatamo" siku ya kwanza wanaweza kuoendelea hadi ndoa, na siye "madomo zege" "tusio na mvuto" tukasubiri hata miaka saba kisha unakula siku moja na "kukinai" kwa sababu huoni tena kilichokupa hamu muda wote huo ni nini? Unaweza kukuta ndo ivo gari imeenda 'kilomita nyingi' au we mwenyewe kumbe 'hutoshei'! LOL

 
Last edited by a moderator:
ukitaka kuingia kwenye good books za hawa viumbe (kwenye jicho la kwanza) wewe lipuka pamba na mabling bling kibao, njoo na kigari hata cha kuazima, jifanye unafanya kazi CRDB bank na uwe umekopa na tuhela twa kutumia tumia kununulia vocha, bia, nyama choma etc ...umemaliza mchezo
 
Ni mara chache mwanaume kumkataa mwanamke kwa kashfa ila kwa wanawake wengi ufanya hivyo!

 
Last edited by a moderator:
Si swala la mfumo dume ni swala la kuwekana sawa hata wanaume labda tuna tabia hizo amabozo hazifai wala si utu kumponda mtu kisa police au mwalimu.


 
Hahahahahahahaha umenichekesha sana kwa mifano hiyo hasa mifano ya mwisho!

Unafikiri mwanaume akikung'ang'ania solution ni vijembe? Lakini njia uliotumia kwa huyo jamaa kidogo ilikuwa solution nzuri kuliko vijembe

 
yaani Mtambuzi hakuna kitu kibaya kama kumnanga sana mwanamme siki ya kwanza anapoonesha nia.

Maana inawezekana kabisa baada ya miezi 6 akawa anakuvua hapo ndo linakushuka haswa, bora kukataa kistaarabu tu.
 


King'asti hapo penye bold umezungumza vizuri sana, na mimi hiyo ndiyo principle ya maisha yangu! Ni vzr na ni busara kuepuka mazingira ya kukerana.
Thanks kwa huu ujumbe.
 
Mtambuzi hii uzi ina kaukweli kabisa lakini kumkataa mtu kwa muenekano mimi naona hakuna ubaya. Kuna methali inasema never a 2nd chance to make the 1st impression. Sasa jamaa haileweki kwa ajili ya muonekano wake hauwezi kubadilisha mawazo yangu. Ikiwa kweli huyu mtu anania njema, then only I will think about it if he becomes persistant.

Kuna time nyengine kuna watu muonekano wao hata ufumbe macho yani haingi akilini sasa utafanyaje, mwanaume mwenyeuzoefu anaweza akalijua hili may be akajaribu mara ya pili bahati yake ikiwa kama sura haiuziki inabidi aonyeshe kile alicho nacho kizungu kama akionyesha tabia ya ukarimu hasa zaidi kwa wadada mwanaume msikivu huwa anauwezo wa kupata mabinti hata akiwa hana muonekano. It how you play the cards, sio tu wadada wenye haja na wapenzi hata wanaume wajue kuwa 1st impression ina umuhimu wake.
 

Mtambuzi , kiukweli kazi ina sehemu yake kama kuna uhakika kuwa fani nyengine ni matatizo mtu anaweza kukosa nguvu ya kudate maana anajua ndio wale wale. Hii hata wale bar maid pia wako judged by their job mostly think kuwa wateja wao wote ni hawara zao, kwahiyo it works both ways.
 
Last edited by a moderator:
halafu Mkuu kwa maisha ya kileo huo muda wa kutongozana kwa saaaaaaaaana utaupata wapi?
 
Hahahahahahahaha umenichekesha sana kwa mifano hiyo hasa mifano ya mwisho!

Unafikiri mwanaume akikung'ang'ania solution ni vijembe? Lakini njia uliotumia kwa huyo jamaa kidogo ilikuwa solution nzuri kuliko vijembe

Usicheke, aisee kuna Watu ving'ang'a usithubutu kukutwa. Mbaya zaidi anang'ang'ania utakutana basi tujadili. Unamuambia hakuna cha kujadili haelewi. Yeye ni simu kila baada ya few minutes, MSG za missing u sijui babe! Inaweza kumuota polisi atii. Manake hadi Unamuambia unanimalizia chaji, haelewi! Uanawake kazi, mweeh!
 

Kaka nakusalimia tu.
Kama kuna vitumbua nitapita badae na maembe ya wifi
 
Last edited by a moderator:
Kaka nakusalimia tu.
Kama kuna vitumbua nitapita badae na maembe ya wifi

Ama baada ya salamu, unazungumziaje dakika 90 za Mtambuzi?

Karibu vitumua, in fact vingine kuna mtu nilimpa akuletee jana, yule jamaa anayekuzengea zengea 9sijui umeshamkubalia manake unajing'ata vidole) maembe yanahusu sana King'asti lol:sleepy:
 
Last edited by a moderator:
Mwanangu umesema "kumkataa mtu bila ustaarabu ni muhimu" mimi nadhani ni vyema ungesema "Si vizuri kumkataa mtu bila ustaarabu"
Shule nimekupeleka lakini unajitia hamnazo......................LOL

Ungenisomesha shule ya kata nisingepata Shida hizi. Saa hizi namuwaza mkweo unadhani nitaelewa kweli?
Na huku ushanikumbusha Yule niliyemkataa saa hizi ni waziri, ulcers zinanikaribia baba. Karibia ntarudi home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…