Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Ngoja niwasanue!
Imekuwa kawaida kusikia wake zetu wakisifia chips za baa eti ni tamu kuliko wanazoweza kupika majumbani kwao.
Basi sasa mjue sio chips tu, hata chakula cha hotelini huwa ni kitamu kuliko mnachoandaa majumbani. Hii ndiyo sababu huwa waume zenu wanarudi wameshiba.
Au wanabakisha nafasi kidogo tu ya kutimiza wajibu ili msilalamike wasipokula.
Hata wahudumu huko baa ni watamu vile vile kuliko wake wa aina hiyo, ndiyo maana ni rahisi kurudi nyumbani usiku mnene au pengine asubuhi.
Mnapoamua kusifia vyakula vya nje basi msiishie kwenye chips pekee.
Imekuwa kawaida kusikia wake zetu wakisifia chips za baa eti ni tamu kuliko wanazoweza kupika majumbani kwao.
Basi sasa mjue sio chips tu, hata chakula cha hotelini huwa ni kitamu kuliko mnachoandaa majumbani. Hii ndiyo sababu huwa waume zenu wanarudi wameshiba.
Au wanabakisha nafasi kidogo tu ya kutimiza wajibu ili msilalamike wasipokula.
Hata wahudumu huko baa ni watamu vile vile kuliko wake wa aina hiyo, ndiyo maana ni rahisi kurudi nyumbani usiku mnene au pengine asubuhi.
Mnapoamua kusifia vyakula vya nje basi msiishie kwenye chips pekee.