[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti kukwata vidole[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu kwa nini unataka kunigombanisha na matycoon?
Nikikatwa vidole utani saidia wewe kutafuta ugali wa wanangu?
Mimi simfahamu huyo mtu bana nimesoma tu malalamiko ya watu na hiyo tuhuma ya TAKUKURU.
Kaka inakera mnooo..Kabint kenyewe kapole masikini..Yaan anatukanwa mpk majiran tunasikia thus y nimelileta hapa..Halafu linasema kwa sautiiii..Pole sana nadhani sio wote wenye hii tabia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilikuwa na uongelee Mwijage bana.Mkuu unabadirishia gia angani,zamani huko Kuna kathread kuhusu bwana yule kutolipa salaries ukasema,niacheni muhaya wanguuuu
Mimi naongelea Kaka yake Hosea,Mr. St. Annemarie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilikuwa na uongelee Mwijage bana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ninamfahamu Mwijage na ninamfahamu huyo mwingine kama rafiki wa Mwijage.Mimi naongelea Kaka yake Hosea,Mr. St. Annemarie
Nimekupata mkuu,naona unatoa kichwa afu unakirudisha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ninamfahamu Mwijage na ninamfahamu huyo mwingine kama rafiki wa Mwijage.
Zaidi ya hapo sina ninalolifahamu.
Halafu nani alikuambia CCM yupo msafi?
Hao ndo wanaoibeba CCM.
Kuanzia posho, magari kipindi kama hiki, madereva mafuta na malazi.
Huyo unayemsema hana shida na salary au posho ya ubunge.
Kama ubunge kwake ni kulinda maslahi yake kwenye biashara zake.
Sasa mtu kama huyu usitegemee atatoka leo CCM.
Sasa mbona hizo ni basic info kila mtu anazijua.Nimekupata mkuu,naona unatoa kichwa afu unakirudisha.
Mtu aseme huyu ni mtu wangu,mimi nitajua kweli mpaka atengue kauli,asiootengua Mimi ni nani hadi nimbishie? Halafu kwa denials hizi,mhhSasa mbona hizo ni basic info kila mtu anazijua.
Na kuandika muacheni muhaya wangu haimaanishi mimi ni mtu wake.
Kila mtu anajua jamaa ni muhaya.
Wewe unaamini kila kinachoandikwa humu?Mtu aseme huyu ni mtu wangu,mimi nitajua kweli mpaka atengue kauli,asiootengua Mimi ni nani hadi nimbishie? Halafu kwa denials hizi,mhh
Hapana ila huwa najaribu kwenda zaidi ya kinachoandikwa hasa kuhusu mood ya mwandishi.Wewe unaamini kila kinachoandikwa humu?
"mwanaume Bora ni yule anayelowanisha chupi ya mwanamke hata akiwa mbali"...teh teh amu bwana!Mwanaume bora ni yule anayelowanisha chupi ya mwanamke hata akiwa mbali na si anayefanya mwanamke adondoshe machozi na kuwa na sononeko.
Jamaa yako ana msaraMtu aseme huyu ni mtu wangu,mimi nitajua kweli mpaka atengue kauli,asiootengua Mimi ni nani hadi nimbishie? Halafu kwa denials hizi,mhh
Auntieeeeh pitia kwa mangi pata 1 baridi nakuja kupay chap kwa haraka lol, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mwanaume bora ni yule anayelowanisha chupi ya mwanamke hata akiwa mbali na si anayefanya mwanamke adondoshe machozi na kuwa na sononeko.