Mwanamke wa hivi unamfanyaje?

Mwanamke wa hivi unamfanyaje?

1. nilichogundua wewe unampenda sana huyo binti.
2. namna bora ni kujipa muda fulani wa kuvumilia upuuzi wake. Grace period ikiisha mtafute uongee naye ana kwa ana ukimweleza kuwa umechishwa na tabia zake za hovyo hivyo unavunja uhusiano.
3. kama kweli anakupenda atajirekebisha
 
Mnategeana kutaftana..
Mapenzi ya kitoto hayo
Huu mwaka wa kuchanganyikiwa kweli!

Huyu mrembo tangu niwe nae kwenye mahusiano simuelewi kabisaa! Bora tu nijikatae au mapenzi sio vitu vyangu.

Huyu mrembo nilimblock miezi kadhaa nyuma kwa sababu mahusiano hayakuwa well balanced. Yaani mi ndo nimtafute, nimcall, text. Ila yeye mpaka ajisikie. Sasa huko ni kujikomba.

Alikuja kunitafuta baada ya miezi 2 na kulalamika na kudai nautesa moyo wake. Nikasema isiwe kesi nikamkaribisha tena. Siku za mwanzoni, mrembo alikuwa serious. Ubusy hamna, communication vizuri na upatikanaji.

Haya sasa, baada ya wiki mambo yakarudi yaleyale. Hamna ugomvi wala nini mtoto mwendo wa kunikalia kimya. Ukituma sms zinajibiwa after masaa au muda mwingine hamna. Nikaona isiwe kesi, nikavunga. Baada ya siku kadhaa ananitafuta na malalamiko kwamba nimebadilika simjulii hali wala nini? Mtu kama huyo unamfanyaje?
Sasa nimeamua kukaa kimya siku ya tatu sasa.
Nashukuru Mungu mahusiano nishayavulia nguo kitambo japo namkubali sana ila hisia hazizidi uwezo.

All in all huu mwaka wa kuchanganyikiwa, hivyo tuwe makini.
Keep focusing on money, food and hobbies, love is a scam
 
Huyo ana mtu mwingine au watu wengine.

Kwahyo mda ambao anakukaushia wewe yupo bize na wao.

Na mda ambao anarudi kwako ujue kule kakaushiwa na yeye.

Ndomana anakuja na malalamiko kwako, yaani mateso anayoyapata kule anataka umpoze wewe.

Epuka mahusiano ya hivyo. We sio doctor kutibu mioyo iliyovunjika.
Kwa ufupi anapumzikiwa ni wa ziada.
 
Huu mwaka wa kuchanganyikiwa kweli!

Huyu mrembo tangu niwe nae kwenye mahusiano simuelewi kabisaa! Bora tu nijikatae au mapenzi sio vitu vyangu.

Huyu mrembo nilimblock miezi kadhaa nyuma kwa sababu mahusiano hayakuwa well balanced. Yaani mi ndo nimtafute, nimcall, text. Ila yeye mpaka ajisikie. Sasa huko ni kujikomba.

Alikuja kunitafuta baada ya miezi 2 na kulalamika na kudai nautesa moyo wake. Nikasema isiwe kesi nikamkaribisha tena. Siku za mwanzoni, mrembo alikuwa serious. Ubusy hamna, communication vizuri na upatikanaji.

Haya sasa, baada ya wiki mambo yakarudi yaleyale. Hamna ugomvi wala nini mtoto mwendo wa kunikalia kimya. Ukituma sms zinajibiwa after masaa au muda mwingine hamna. Nikaona isiwe kesi, nikavunga. Baada ya siku kadhaa ananitafuta na malalamiko kwamba nimebadilika simjulii hali wala nini? Mtu kama huyo unamfanyaje?
Sasa nimeamua kukaa kimya siku ya tatu sasa.
Nashukuru Mungu mahusiano nishayavulia nguo kitambo japo namkubali sana ila hisia hazizidi uwezo.

All in all huu mwaka wa kuchanganyikiwa, hivyo tuwe makini.
Keep focusing on money, food and hobbies, love is a scam
Usiwe msenge dogo, huyo kipindi chote hicho alikuwa anagegedwa na mtu ampendaye ambaye kwa akili yake finyu alihisi ndiyo angekuwa mpenzi wake. Mwanamke akiwa anakufanyia ujinga kama huu kwenye mahusiano basi juwa ana mtu ama watu wake anaowapima ni yupi kati ya hao adili naye kiundani zaidi kwani hawa wenzetu ufuata maslahi tu. Katemwa ndiyo anarudi kwako kuvuta subira akisubiri mjinga mwingine aje amchezee. Achana naye, mpige mti wa kutosha kisha mfukuze, never allow mwanamke acheze na your emotions ama kupoteza muda wako hata siku moja. Njoo kwenye kikao chetu cha wanaume 'Jiwe" utapata madini ya kutosha, achana kabisa na tabia za wanaume wa Dar.
 
Huu mwaka wa kuchanganyikiwa kweli!

Huyu mrembo tangu niwe nae kwenye mahusiano simuelewi kabisaa! Bora tu nijikatae au mapenzi sio vitu vyangu.

Huyu mrembo nilimblock miezi kadhaa nyuma kwa sababu mahusiano hayakuwa well balanced. Yaani mi ndo nimtafute, nimcall, text. Ila yeye mpaka ajisikie. Sasa huko ni kujikomba.

Alikuja kunitafuta baada ya miezi 2 na kulalamika na kudai nautesa moyo wake. Nikasema isiwe kesi nikamkaribisha tena. Siku za mwanzoni, mrembo alikuwa serious. Ubusy hamna, communication vizuri na upatikanaji.

Haya sasa, baada ya wiki mambo yakarudi yaleyale. Hamna ugomvi wala nini mtoto mwendo wa kunikalia kimya. Ukituma sms zinajibiwa after masaa au muda mwingine hamna. Nikaona isiwe kesi, nikavunga. Baada ya siku kadhaa ananitafuta na malalamiko kwamba nimebadilika simjulii hali wala nini? Mtu kama huyo unamfanyaje?
Sasa nimeamua kukaa kimya siku ya tatu sasa.
Nashukuru Mungu mahusiano nishayavulia nguo kitambo japo namkubali sana ila hisia hazizidi uwezo.

All in all huu mwaka wa kuchanganyikiwa, hivyo tuwe makini.
Keep focusing on money, food and hobbies, love is a scam
Huyu muitie kindumbwendumbwe tu, ataacha kujikojolea mara moja. Ila tunajuaje kama ni mkeo ni kikojozi, isijekuwa ni wewe mwenyewe unajikojolea?
 
Back
Top Bottom