Mwanamke wa Kimasai wa Loliondo atoa ushuhuda

Mwanamke wa Kimasai wa Loliondo atoa ushuhuda

Hili jambo la loliondo lilishawahi kujadiliwa sana hapa JF. Waziri alikanusha kuwa hakuna unyanywasaji uliofanyika na pia watu waliochomewa maboma hawakuwa watanzania, swali ninalojiuliza: ikidhibitika kuwa kulikuwepo na vitendo vya unyanyasaji na waliochomewa maboma walikuwa watanzania,Je waziri atawajibika kivipi kufuta kauli yake ya hawali kuwa hakuna madhara yeyote yaliyo tokea?

Mkuu Ulimbo tatizo ni pana zaidi: hata wangekuwa wakenya kama serikali hii isiyo na uwezo wa kufikiri inavyotaka kutuaminisha, ni sheria gani inayosema wageni wa nchi fulani wachomewe nyumba zao, wabakwe na kuteswa? Jumuia ya kimataifa na hususan nchi ya Kenya ikiamua kudai haki za "wakenya" Tanzania itajibu nini? Kati ya majibu ya mawaziri wa JK yaliyo wahi kunichefua ni hili la kuwapa wananchi wa Loliondo "Ukenya" baada ya kuwatesa na kuwabaka. What a lame minister!
 
Kwani Loliondo inagusa vipi Tanzania yote? kwani Buzwagi inagusa vipi Tanzania yote? Kwani Meremeta inagusa vipi Tanzania yote? Mwananchi Gold? EPA, CIS, na mengine lukuki? Kwani watu wa Dar wamechukizwa na mlipuko wa mabomu au mlipuko wa kipindu pindu kila mwaka? Kwani Hospitali ya Temeke ambako wajawazito wamekuwa wakijazana kwa miaka sasa huku serikali inampango wa kujenga mabarabara ya kwenda juu kwa juu mmesikia Temeke wamelalamika?

Well.. we get what we deserve, and what we have now is what we deserve!

Bro MKJJ,

Ulichosema hapo ni 100% sie wapiga kura tusipo wabadirikia hawa viongozi wetu wa juuu watendelea kutuburuza tuuuuu,
Inayoniuma ni pale Hospital ya Mwananyamara kweli serikali imeshindwa kugomesha japo ma VX manne na kukarabati au kuboresha Ile Hostipali jamani???? tumekuwaje jamani ni kama wanayama sikuizi????
 
Back
Top Bottom