Mimi sio mgeni huku na nakiri kuwa hii ni ID yangu ya pili.
Umri na wakati wa kuoa umefika na naomba kutumia jukwaa hili kutafuta mwenza ikiwezekana mapema mwakani tufunge ndoa.
Sifa zangu ni kama ifuatavyo.
1. Me
2. 34 years
3. Maji ya kunde
4. Lutheran
5. Mfanyabiashara na mtafiti wa masoko.
6. Natumia kilevi
7. Nina mtoto mmoja
8. Chagga
Mwanamke ninaemtaka awe na sifa zifuatazo.
1. 28 years and below that.
2. Mweupe/Maji ya kunde
3. Asiwe mnene
4. Lutheran
5. Awe anatoka mkoa wowote wa hl Kaskazini.
6. Kazi yake sio muhimu sana lakini iwe ya heshima.
7. Awe na mapenzi kwa mtoto Wangu (Muhimu sana)
8. Awe ameshamaliza maisha ya ujana na yupo tayari kuishi kwenye ndoa.
Nawakaribisha wale ambao mpo serious. Sitaki tupotezeane muda kwenye swala hili.
Asanteni
Umri na wakati wa kuoa umefika na naomba kutumia jukwaa hili kutafuta mwenza ikiwezekana mapema mwakani tufunge ndoa.
Sifa zangu ni kama ifuatavyo.
1. Me
2. 34 years
3. Maji ya kunde
4. Lutheran
5. Mfanyabiashara na mtafiti wa masoko.
6. Natumia kilevi
7. Nina mtoto mmoja
8. Chagga
Mwanamke ninaemtaka awe na sifa zifuatazo.
1. 28 years and below that.
2. Mweupe/Maji ya kunde
3. Asiwe mnene
4. Lutheran
5. Awe anatoka mkoa wowote wa hl Kaskazini.
6. Kazi yake sio muhimu sana lakini iwe ya heshima.
7. Awe na mapenzi kwa mtoto Wangu (Muhimu sana)
8. Awe ameshamaliza maisha ya ujana na yupo tayari kuishi kwenye ndoa.
Nawakaribisha wale ambao mpo serious. Sitaki tupotezeane muda kwenye swala hili.
Asanteni