Ebana wana JF,Mimi nataka msichana wa kuwa naye urafiki,na kama tuki couple tabia tuoane,maana niliye naye hayuko tihari kuolewa na sababu hasemi.
Ila itakuwa bora zaidi kama unaishi mikoa ya kanda ya ziwa,itakuwa more priority.
Hata kama una dada yako ni PM.nitakujibu.
Siliousy issue,kama huna point naomba bora husi comment.
Thanks.
Tunaoa ili kupata familia,hisipotokea kupata mtoto! bac ni mipango ya mungu! Fikilia kabla huja comment.