Mwanamke wa kuwa mama watoto wangu.

Mwanamke wa kuwa mama watoto wangu.

Tidito L

Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
97
Reaction score
16
Ebana wana JF,Mimi nataka msichana wa kuwa naye urafiki,na kama tuki couple tabia tuoane,maana niliye naye hayuko tihari kuolewa na sababu hasemi.
Ila itakuwa bora zaidi kama unaishi mikoa ya kanda ya ziwa,itakuwa more priority.
Hata kama una dada yako ni PM.nitakujibu.
Siliousy issue,kama huna point naomba bora husi comment.
Thanks.
 
mbona hujaweka vigezo?kila la kheri rafiki
Du! Sory kwa hilo! Ukabira mi cna,mweupe natural,urefu wa kawaida, mfupi ctaki. Elimu isipungue fom 4. And then awe na qualification(ujuzi) wwt. Mengine ndo maana nimesema tuki couple.
Hapo vipi wangu!
 
Naisshi ulaya (kenya) sasa
itakuwaje?? nilimaliza form 4
mmmmhhhh shule za kata
 
ngoja none namna nzuri nitakavyojipigia promo mwenyewe
 
Ebana wana JF,Mimi nataka msichana wa kuwa naye urafiki,na kama tuki couple tabia tuoane,maana niliye naye hayuko tihari kuolewa na sababu hasemi.
Ila itakuwa bora zaidi kama unaishi mikoa ya kanda ya ziwa,itakuwa more priority.
Hata kama una dada yako ni PM.nitakujibu.
Siliousy issue,kama huna point naomba bora husi comment.
Thanks.

Una uhakika gani kama utapata watoto! Angalia title yako inavyosound.
 
Tunaoa ili kupata familia,hisipotokea kupata mtoto! bac ni mipango ya mungu! Fikilia kabla huja comment.

Wee kapuuzi sana, kama watoto ni majaliwa basi sema 'natafuta mke' siyo eti 'natafuta wa kuwa mama wa watoto wangu'. You real exemplify how shallow your brain is. Think twice before you post your thread.
 
Back
Top Bottom