Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #21
Alafu wee ndugu yangu kabisa usioneshe wivu adharaniAcha sifa eti wanakufuata!kwa lipi ? ungeeleza tu bila kutia misifa ungeeleweka tu
Kwa nilivyoelew hiyo mimba si ya kwako ni ya P2baada ya first round bila ku withdraw ananiambia yupo siku 15 hivo anaweza shika mimba, nikamwambia ni makosa akasema atakunywa P2 nikasema ๐. Siku ya 3 ananiambia ndo amemeza P2.
Wivu wa nini sasa baba jayaronAlafu wee ndugu yangu kabisa usioneshe wivu adharani
Dna eeh omba asikuwahi yeye ile ofisi utamtunxa mwanao mpwaa ile ofisi sikuhizi siooo na nasema muwasaidia usimwambje mwanamke nakupeleka dnaWasalaam,
Ebana sina mengi sana, ila ni kwamba nimeingizwa mjini kiasi cha kuharibu msimamo wangu niliojiwekea maishani mwangu. Iko hivi nimekua na mahusiano tofauti tofauti kwa wakati mmoja huku nikizingatia usalama wa Afya yangu (lazima tupime VVU) kabla ya kula mzigo.
Kwa bahati nzuri hawa mademu nakuaga nao wananikubali sana yaani ni kama makondoo kwangu na mi mchunga wao, kila nisemalo wanafuata.
Hasa kwenye kipengele cha kushika mimba (maana karibu wote wanataka kubeba mimba yangu) sasa nimewapiga biti kwamba wakibeba tu mi napiga chini kabisa na kuikana hio mimba, so ka anataka asubiri nikimuoa.
So mambo ya kumimina nje ya kikombe mi sio shida kwangu akizingua namgonga P2.
Sasa nilitokewa mtandaoni WhatsApp group ya kuuza vitu online na dada mmoja single maza kutoka mkoani huko wale wa kujinyonga.
Sikua na hiyana nikijua yuko mbali ntamzuga zuga bana na hivo nimeona ni mkubwa kanizidi ka 3 yrs. Kumbe bana alikua serious akajilipia nauli mwenyewe mpaka Dar, nikagonga show moja hatari saana maana ye mwenyewe ni master ukiwa mzembe anakukata pumzi, basi alizidi kunielewa akaniambia hata nifanyeje hapindui maana hajawahi kutana na mwanaume wa Dar strong hivi ka natoka milimani huko๐๐
Kurudi huko mkoani kila saa msg simu fulu vurugu ameimiss amenimiss akafunga tena safari akaja tena kama kawa ila baada ya first round bila ku withdraw ananiambia yupo siku 15 hivo anaweza shika mimba, nikamwambia ni makosa akasema atakunywa P2 nikasema ๐. Siku ya 3 ananiambia ndo amemeza P2.
Akawa analalamika anajiskia vibaya nikamwabia ni dawa izo so hali ilipo zidi anadai ameenda hospital amekutwa na ujauzito, na anadai ni wangu hivo amechanganyikiwa hajui afanyeje!
Sikumjibu kitu, akaja na wazo aitoe nikamwambia sijawahi na sitowahi kumshawishi mtu atoe mimba, so ataamua chakua amua nami nitamkubali mtoto mpaka hapo atakapo zaliwa na kumpima DNA. JE, NIKO SAHIHI?
Inawezekana au aliitegesha makusudi... hata hivyo kanaiambia atailea mwenyewe kikubwa nijue anamimba yangu.... kuna mda nahisi pengine ni mke wa mtuKwa nilivyoelew hiyo mimba si ya kwako ni ya P2
We subir ukapime DNA halafu uone
Staki mimba... mimi nna watoto tayari sikutaka kuchanganya matumboWivu wa nini sasa baba jayaron
Kwa nini unawamezesha p2?
Kweli ngumu ndo mana hatutaki kulea mizigoHalafu mnasema maisha magumu
Kanibebesha mimba bila kutarajiaKakuingiza mjini wakati yupo mkoani
Kwa sifa zilezile za kuwala ndo kwa sifa hizohizo utaleaKweli ngumu ndo mana hatutaki kulea mizigo
Si yupo mkoani kwani yupo mjiniKanibebesha mimba bila kutarajia
Hata ivo nitafanya ivo kisiiri na kawaida damu zetu huwa azipotei maana ni kopiDna eeh omba asikuwahi yeye ile ofisi utamtunxa mwanao mpwaa ile ofisi sikuhizi siooo na nasema muwasaidia usimwambje mwanamke nakupeleka dna
Na mwanao akikuwahj jibu n + best hata awe mwarabuuuuu
Mkuu tatizo ni kupoteza trust ukishaumizwa... ila am going to quit soonUmalaya sio dili baki njia kuu. Tafuta mwanamke mmoja wa kuspend naye hayo maisha uliyobakiza hapa duniani
Yeah usisanaue mapema mkuu ile ofisi haitaki laana sikuhiziHata ivo nitafanya ivo kisiiri na kawaida damu zetu huwa azipotei maana ni kopi
acha uzinziWasalaam,
Ebana sina mengi sana, ila ni kwamba nimeingizwa mjini kiasi cha kuharibu msimamo wangu niliojiwekea maishani mwangu. Iko hivi nimekua na mahusiano tofauti tofauti kwa wakati mmoja huku nikizingatia usalama wa Afya yangu (lazima tupime VVU) kabla ya kula mzigo.
Kwa bahati nzuri hawa mademu nakuaga nao wananikubali sana yaani ni kama makondoo kwangu na mi mchunga wao, kila nisemalo wanafuata.
Hasa kwenye kipengele cha kushika mimba (maana karibu wote wanataka kubeba mimba yangu) sasa nimewapiga biti kwamba wakibeba tu mi napiga chini kabisa na kuikana hio mimba, so ka anataka asubiri nikimuoa.
So mambo ya kumimina nje ya kikombe mi sio shida kwangu akizingua namgonga P2.
Sasa nilitokewa mtandaoni WhatsApp group ya kuuza vitu online na dada mmoja single maza kutoka mkoani huko wale wa kujinyonga.
Sikua na hiyana nikijua yuko mbali ntamzuga zuga bana na hivo nimeona ni mkubwa kanizidi ka 3 yrs. Kumbe bana alikua serious akajilipia nauli mwenyewe mpaka Dar, nikagonga show moja hatari saana maana ye mwenyewe ni master ukiwa mzembe anakukata pumzi, basi alizidi kunielewa akaniambia hata nifanyeje hapindui maana hajawahi kutana na mwanaume wa Dar strong hivi ka natoka milimani huko๐๐
Kurudi huko mkoani kila saa msg simu fulu vurugu ameimiss amenimiss akafunga tena safari akaja tena kama kawa ila baada ya first round bila ku withdraw ananiambia yupo siku 15 hivo anaweza shika mimba, nikamwambia ni makosa akasema atakunywa P2 nikasema ๐. Siku ya 3 ananiambia ndo amemeza P2.
Akawa analalamika anajiskia vibaya nikamwabia ni dawa izo so hali ilipo zidi anadai ameenda hospital amekutwa na ujauzito, na anadai ni wangu hivo amechanganyikiwa hajui afanyeje!
Sikumjibu kitu, akaja na wazo aitoe nikamwambia sijawahi na sitowahi kumshawishi mtu atoe mimba, so ataamua chakua amua nami nitamkubali mtoto mpaka hapo atakapo zaliwa na kumpima DNA. JE, NIKO SAHIHI?
Karibu mjini mwanetu, huku kikubwa akili tu.Wasalaam,
Ebana sina mengi sana, ila ni kwamba nimeingizwa mjini kiasi cha kuharibu msimamo wangu niliojiwekea maishani mwangu. Iko hivi nimekua na mahusiano tofauti tofauti kwa wakati mmoja huku nikizingatia usalama wa Afya yangu (lazima tupime VVU) kabla ya kula mzigo.
Kwa bahati nzuri hawa mademu nakuaga nao wananikubali sana yaani ni kama makondoo kwangu na mi mchunga wao, kila nisemalo wanafuata.
Hasa kwenye kipengele cha kushika mimba (maana karibu wote wanataka kubeba mimba yangu) sasa nimewapiga biti kwamba wakibeba tu mi napiga chini kabisa na kuikana hio mimba, so ka anataka asubiri nikimuoa.
So mambo ya kumimina nje ya kikombe mi sio shida kwangu akizingua namgonga P2.
Sasa nilitokewa mtandaoni WhatsApp group ya kuuza vitu online na dada mmoja single maza kutoka mkoani huko wale wa kujinyonga.
Sikua na hiyana nikijua yuko mbali ntamzuga zuga bana na hivo nimeona ni mkubwa kanizidi ka 3 yrs. Kumbe bana alikua serious akajilipia nauli mwenyewe mpaka Dar, nikagonga show moja hatari saana maana ye mwenyewe ni master ukiwa mzembe anakukata pumzi, basi alizidi kunielewa akaniambia hata nifanyeje hapindui maana hajawahi kutana na mwanaume wa Dar strong hivi ka natoka milimani huko๐๐
Kurudi huko mkoani kila saa msg simu fulu vurugu ameimiss amenimiss akafunga tena safari akaja tena kama kawa ila baada ya first round bila ku withdraw ananiambia yupo siku 15 hivo anaweza shika mimba, nikamwambia ni makosa akasema atakunywa P2 nikasema ๐. Siku ya 3 ananiambia ndo amemeza P2.
Akawa analalamika anajiskia vibaya nikamwabia ni dawa izo so hali ilipo zidi anadai ameenda hospital amekutwa na ujauzito, na anadai ni wangu hivo amechanganyikiwa hajui afanyeje!
Sikumjibu kitu, akaja na wazo aitoe nikamwambia sijawahi na sitowahi kumshawishi mtu atoe mimba, so ataamua chakua amua nami nitamkubali mtoto mpaka hapo atakapo zaliwa na kumpima DNA. JE, NIKO SAHIHI?