Mwanamke wa mkoani kaniingiza mjini, naomba msaada wenu

Dna eeh omba asikuwahi yeye ile ofisi utamtunxa mwanao mpwaa ile ofisi sikuhizi siooo na nasema muwasaidia usimwambje mwanamke nakupeleka dna
Na mwanao akikuwahj jibu n + best hata awe mwarabuuuuu
 
Kwa nilivyoelew hiyo mimba si ya kwako ni ya P2
We subir ukapime DNA halafu uone
Inawezekana au aliitegesha makusudi... hata hivyo kanaiambia atailea mwenyewe kikubwa nijue anamimba yangu.... kuna mda nahisi pengine ni mke wa mtu
 
Wameshtuka wadada wengi wanabeba mimba za watu so kua avoid watoto wasio na wazazii wengi majibu n + labda uwe na nduguyako upande wa mwanaume kule aamue kujilipua kukupa ukweli

Familia nyingi zinaishi na watoto wa watu zinatunza chasska sasa ujue Mungu alivyo fundi yule unaemuhisi sio wako yaani kuanzia shule kimaisha anakuja kutoboa kuliko unavyofikiria

Mimi ukweli natunza wote hatakama wa kaka yangu ama lah mimi natunza tu ipo siku watanikumbuka dady alipambana na sisi woiiiiiii kisa cha kufa uzee huu nani anataka
 
Umalaya sio dili baki njia kuu. Tafuta mwanamke mmoja wa kuspend naye hayo maisha uliyobakiza hapa duniani
 
Dna eeh omba asikuwahi yeye ile ofisi utamtunxa mwanao mpwaa ile ofisi sikuhizi siooo na nasema muwasaidia usimwambje mwanamke nakupeleka dna
Na mwanao akikuwahj jibu n + best hata awe mwarabuuuuu
Hata ivo nitafanya ivo kisiiri na kawaida damu zetu huwa azipotei maana ni kopi
 
acha uzinzi
 
Karibu mjini mwanetu, huku kikubwa akili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ