Mwanamke wa mkoani kaniingiza mjini, naomba msaada wenu

UPO SAHIHI MWACHE AKUZALIE, WATOTO NI HAZINA KESHO UTAMTUMA MTOTO WAKATI UMECHOKA. UNAWEZA KUTAFUTA DEMU MWINGINE WA STAREHE ILA HUYO MFANYE MZAZI
 
UPO SAHIHI MWACHE AKUZALIE, WATOTO NI HAZINA KESHO UTAMTUMA MTOTO WAKATI UMECHOKA. UNAWEZA KUTAFUTA DEMU MWINGINE WA STAREHE ILA HUYO MFANYE MZAZI
Kwa ujumla sikua na mpango wa kuzaa nje ya watoto nilionao
 
We ndo mwanamke wa nje kwa shemeji angu,??
Unajitutumua sana lakini watu washakujua. Mmeolewa hapo na dadayo. Unakuja na stories za kipumbavu za FB watu wanajua tu hujaenda shule ada. Umeanza ku imagine some stuff. Kua dogo utajifunza.
 
Ukikua utajua cha kufanya, kwasasa furahia utoto wako ndgu.
Kwa hapo mshirikishe baba yako, atajua atakusaidiaje.
 
Kama ana mimba sio ya kwako ikatae mapema
 
Unajitutumua sana lakini watu washakujua. Mmeolewa hapo na dadayo. Unakuja na stories za kipumbavu za FB watu wanajua tu hujaenda shule ada. Umeanza ku imagine some stuff. Kua dogo utajifunza.
Endelea kujichekesha
 
Fala kwel.
 
Chai
 
Kwa ujumla sikua na mpango wa kuzaa nje ya watoto nilionao
USIOGOPE HILO HUJUI NI MTOTO YUPI ATAKUSAIDIA BADAE, NI JAMBO DOGO SANA HILO WALA LISIKUUMIZE AKILI, UTAKUJA KUWAKUTANISHA BADAE WAKIWA WAMESHABALEHE ILI HATA KAMA HAWATAELEWANA TAYARI KILA MTOTO ANA MAISHA YAKE, USIWAKUTANISHE WAKIWA WADOGO MANA KUNA MAWAILI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…