Director Kenny
JF-Expert Member
- Jan 11, 2020
- 347
- 845
Usingeifatilia wala kureply mkuu. Ungepita kama hauoni vileI cement a very stupidly post. maisha na tabia zake za uswahilini zinampunguzia kitu gani?
Hii nchi ndio maana maskini ina majitu inawaza ujinga ujinga tu
ππππWakipokea pesa ya upatu wanavurugu lazima ujue...TU wanamatumiz ya hovyoo
π€£π€£π€£ sasa hiyo si ndio bei ya shanga jamani...Wanavaa shanga kiunoni za bukubuku
Tukiachwa tunaachika, ndoa sio vita ukimuona wanini wenzio wanajiuliza watampata lini.......Uswahilini mtu anaachika chumba hichi anaolewa chumba cha pili na hakuna noma maisha yanaendelea tu
Dah.... unatukandia sana punguza dozi kidogo
Na hivi viatu ni maalumu kwa kushindia.Wanapenda kuvaa viatu vya manyoya
Sifa y mke wangu hiiWengi wanapata watoto wakiwa na umri kati ya 13-15
Hawajui kuandika
Uchafu
Eti kigoma cha uruguay....ππMadem wa uswaz kuna party zisizo rasmi, birthday au kumtoa mtoto hapo kukesha lazima na kigoma Cha uruguay
Wewe jamaa katika wachangiaji wote wewe umekaa uswahilini na unawajua hasa kudadeek walai hufai nimenyoosha mikono πππππUswahilini mtu anaachika chumba hichi anaolewa chumba cha pili na hakuna noma maisha yanaendelea tu
Hili wanalo π π πWengi mikorogo imedunda sababu ya lishe duni
Mungu awasaidie aiseee πππππ
Chausiku...Nimekumbuka ule mchezo jamaa wa kishua anampenda demu wa uswazi (Shamsa Ford), familia ya mwanamme inapambana kumbadilisha tabia mwanamke aendane na wao, kumbe jamaa kampenda demu kwa mambo yake ya uswazi...kwa ufupi mwisho anamuoa na kumbwaga mchumba wake wa ushuani.