EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Jamaa zombie sana ameshindwa hata kudanganya kuwa analipwa Sh 110,000 ona sasa anakikosa kijungu kinono hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uli pekechuwa mpaka uka ujua yani, sasa siku akiuliza wako uta mtajia ?!Wake naujua,lakini sijamuuliza na wala hajanitajia
Mkuu,mshahara hautajwiUli pekechuwa mpaka uka ujua yani, sasa siku akiuliza wako uta mtajia ?!
Wa mwenzako uli ujuaje sasa ?!Mkuu,mshahara hautajwi
Mbona nimeandika huko juu
😁😁 sureAnakuwa kashakuona wewe ni Poyoyo na kwenye K anakumudu hufurukuti.
Masanamu yapo mengi huku mybe mbeyaUjengewe sanamu Dodoma makao makuu ya nchi.
Ukisha ona ndoanimeshafikia hatua hiyo basi hapo mnaishi pamoja tuu ila sio kindoaMie mwenyewe mshahara wangu mume hatakuja kuambiwa
Labda muujiza umtokee siku akutane na slip
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapiga chini
Kwani Ester hajui kama mshahara hautajwi